Author: Jamhuri
January Makamba amefanya jambo la kuigwa
Mbunge wa Bumbuli mkoani Tanga, January Makamba, ametangaza kuwa amejipanga kuongeza kasi ya maendeleo ya elimu katika jimbo hilo, kazi itakayofanyika kwa kupitia Shirika la Maendeleo Bumbuli (BDC) kuanzia mwaka huu.
Programu hiyo itagharimu Sh. milioni 40 ikijumuisha vivutio kwa walimu na wanafunzi wa shule za sekondari; yote ikilenga kuongeza tija na umakini wa kujifunza na kusaidia juhudi zinazofanywa na serikali katika elimu.
Ardhi ya Tanzania inavyoporwa na matajiri matapeli
*Kambi ya Upinzani yaanika bungeni uozo wa kutisha
*Familia ya Chavda yavuna mabilioni na kutokomea
Hii ni sehemu ya hotuba ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee, aliyoitoa bungeni wiki iliyopita, akieleza namna ardhi ya Tanzania inavyohodhiwa na wafanyabiashara na matajiri matapeli…
MASHAMBA YALIYOBINAFSISHWA AMBAYO HAYAJAENDELEZWA
Mheshimiwa Spika, wakati akihitimisha bajeti ya ardhi mwaka jana, Waziri wa Ardhi aliliahidi Bunge lako Tukufu kwamba baada ya Bunge la bajeti wizara ingekwenda kufanya ukaguzi huru wa nani ametelekeza mashamba. Alisisitiza kwamba wawekezaji wote waliotelekeza mashamba “the honeymoon is over.”
‘Majaji ndiyo waliomtuma Lissu’
Hotuba kali ya Tundu Lissu ya kukosoa uteuzi wa majaji dhaifu uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, imeelezwa kwamba ina baraka zote za baadhi ya viongozi waandamizi wa Mhimili wa Mahakama, JAMHURI limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
- Jubilee Life Insurance yazindua bidhaa tatu mpya za bima ya maisha
- PBPA Yawawezesha Mama Lishe Kurasini kuhamia Nishati Safi ya kupikia
- Serikali yaimarisha mikakati kukuza sekta ya viwanda
- Ndembeji Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kongamano la Tano la Uchumi wa Bluu
- NMBF yafungua maombi ya ‘Nuru ‘Yangu’
Habari mpya
- Jubilee Life Insurance yazindua bidhaa tatu mpya za bima ya maisha
- PBPA Yawawezesha Mama Lishe Kurasini kuhamia Nishati Safi ya kupikia
- Serikali yaimarisha mikakati kukuza sekta ya viwanda
- Ndembeji Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kongamano la Tano la Uchumi wa Bluu
- NMBF yafungua maombi ya ‘Nuru ‘Yangu’
- Serikali yaimarisha miundombinu ya umeme Igunga – Salome
- Mawasilisho 294 kupigiwa kura Samia kalamu Awards 2026.
- Makamu wa Rais ataka bei ya saruji ishuke haraka
- Sekta binafsi injini ya Tanzania kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050
- TANESCO Ubungo yawabaini wateja waliochepusha umeme kupitia vishoka
- FCC yawataka wafanyabiashara kuripoti bidhaa bandia
- Sumaye : Watanzania kukutana kuliombea Taifa
- Tanesco Ubungo yanasa waliojiunganishia Umeme kinyume na utaratibu
- Serikali yafikisha umeme maeneo 582 ya wachimbaji wadogo, kilimo na viwanda Tanzania Bara
- Serikali yaimarisha uhimilivu bei za mafuta nchini
Copyright 2025
Cookie Consent
We use cookies to improve your experience on our site. By using our site, you consent to cookies.
Cookie Preferences
Manage your cookie preferences below:
Essential cookies enable basic functions and are necessary for the proper function of the website.
