Author: Jamhuri
January Makamba amefanya jambo la kuigwa
Mbunge wa Bumbuli mkoani Tanga, January Makamba, ametangaza kuwa amejipanga kuongeza kasi ya maendeleo ya elimu katika jimbo hilo, kazi itakayofanyika kwa kupitia Shirika la Maendeleo Bumbuli (BDC) kuanzia mwaka huu.
Programu hiyo itagharimu Sh. milioni 40 ikijumuisha vivutio kwa walimu na wanafunzi wa shule za sekondari; yote ikilenga kuongeza tija na umakini wa kujifunza na kusaidia juhudi zinazofanywa na serikali katika elimu.
Ardhi ya Tanzania inavyoporwa na matajiri matapeli
*Kambi ya Upinzani yaanika bungeni uozo wa kutisha
*Familia ya Chavda yavuna mabilioni na kutokomea
Hii ni sehemu ya hotuba ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee, aliyoitoa bungeni wiki iliyopita, akieleza namna ardhi ya Tanzania inavyohodhiwa na wafanyabiashara na matajiri matapeli…
MASHAMBA YALIYOBINAFSISHWA AMBAYO HAYAJAENDELEZWA
Mheshimiwa Spika, wakati akihitimisha bajeti ya ardhi mwaka jana, Waziri wa Ardhi aliliahidi Bunge lako Tukufu kwamba baada ya Bunge la bajeti wizara ingekwenda kufanya ukaguzi huru wa nani ametelekeza mashamba. Alisisitiza kwamba wawekezaji wote waliotelekeza mashamba “the honeymoon is over.”
‘Majaji ndiyo waliomtuma Lissu’
Hotuba kali ya Tundu Lissu ya kukosoa uteuzi wa majaji dhaifu uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, imeelezwa kwamba ina baraka zote za baadhi ya viongozi waandamizi wa Mhimili wa Mahakama, JAMHURI limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
- HESLB yazindua Kampeni ‘Kiduchu fresh tunasonga mbele’
- TANESCO yatoa zawadi ya majiko kwa walimu wa sekondari wasichana Manyara
- Prof. Shemdoe awataka ma RC, ma DC kupunguza magari kwenye ziara
- John Mabagala azungumzia mchakato wa TCB usafirishaji Soko la Kahawa nchini
- Prof. Shemdoe awataka ma- RC kusimamia halmashauri ziwe na mipango madhubuti
Habari mpya
- HESLB yazindua Kampeni ‘Kiduchu fresh tunasonga mbele’
- TANESCO yatoa zawadi ya majiko kwa walimu wa sekondari wasichana Manyara
- Prof. Shemdoe awataka ma RC, ma DC kupunguza magari kwenye ziara
- John Mabagala azungumzia mchakato wa TCB usafirishaji Soko la Kahawa nchini
- Prof. Shemdoe awataka ma- RC kusimamia halmashauri ziwe na mipango madhubuti
- Nyamka : Wazee na waasisi ni nguzo muhimu CCM
- Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA
- Pwani yajipanga kupokea mwenge wa Uhuru Aprili 18
- Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma kukamilika 2026/27
- EACOP yasaidia fedha vikundi 16 kuinua uchumi Tanga
- Wazi Mkuu: Dk Samia ameandika historia isiyofutika
- Serikali yapokea hoja ya Dk Jafo ya ajira za ‘Part -Time’ kwa vijana
- Serikali yajipanga kuzifanyia ukarabati shule zote kongwe nchini – Prof. Shemdoe
- JOWUTA yashiriki kikao Mei Mosi, yataka ushirikishwaji zaidi wanahabari
- Wizara ya Mambo ya Nje kuandaa utaratibu wa kuvuna maarifa ya mabalozi wastaafu
Copyright 2025
