Author: Jamhuri
January Makamba amefanya jambo la kuigwa
Mbunge wa Bumbuli mkoani Tanga, January Makamba, ametangaza kuwa amejipanga kuongeza kasi ya maendeleo ya elimu katika jimbo hilo, kazi itakayofanyika kwa kupitia Shirika la Maendeleo Bumbuli (BDC) kuanzia mwaka huu.
Programu hiyo itagharimu Sh. milioni 40 ikijumuisha vivutio kwa walimu na wanafunzi wa shule za sekondari; yote ikilenga kuongeza tija na umakini wa kujifunza na kusaidia juhudi zinazofanywa na serikali katika elimu.
Ardhi ya Tanzania inavyoporwa na matajiri matapeli
*Kambi ya Upinzani yaanika bungeni uozo wa kutisha
*Familia ya Chavda yavuna mabilioni na kutokomea
Hii ni sehemu ya hotuba ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee, aliyoitoa bungeni wiki iliyopita, akieleza namna ardhi ya Tanzania inavyohodhiwa na wafanyabiashara na matajiri matapeli…
MASHAMBA YALIYOBINAFSISHWA AMBAYO HAYAJAENDELEZWA
Mheshimiwa Spika, wakati akihitimisha bajeti ya ardhi mwaka jana, Waziri wa Ardhi aliliahidi Bunge lako Tukufu kwamba baada ya Bunge la bajeti wizara ingekwenda kufanya ukaguzi huru wa nani ametelekeza mashamba. Alisisitiza kwamba wawekezaji wote waliotelekeza mashamba “the honeymoon is over.”
‘Majaji ndiyo waliomtuma Lissu’
Hotuba kali ya Tundu Lissu ya kukosoa uteuzi wa majaji dhaifu uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete, imeelezwa kwamba ina baraka zote za baadhi ya viongozi waandamizi wa Mhimili wa Mahakama, JAMHURI limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI
DIRA YA WIZARA:
Kuwa na uhakika wa milki za ardhi, nyumba bora na makazi endelevu kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
DHIMA:
Kuweka mazingira yanayofaa kuleta ufanisi katika utoaji wa huduma za ardhi, nyumba na makazi
Wapinzani wachekelea Pinda kugwaya
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imeeleza kufarijika na kauli ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kampuni ya Agrisol haijapewa ardhi ya Katumba na Mishamo mkoani Katavi.
- Salome Makamba afunga maonyesho ya Nishati Expo 2026
- Wawili wakamatwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo
- Tanzania yapongezwa kwa utekelezaji wa mkakati wa PEN-PLUS katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza
- Waziri Mkuu: Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia
- From representation to results: How President Samia is redefining women’s diplomacy in Africa
Habari mpya
- Salome Makamba afunga maonyesho ya Nishati Expo 2026
- Wawili wakamatwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo
- Tanzania yapongezwa kwa utekelezaji wa mkakati wa PEN-PLUS katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza
- Waziri Mkuu: Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia
- From representation to results: How President Samia is redefining women’s diplomacy in Africa
- Rais Samia azindua huduma ya saratani KCMC, aahidi ushirikiano
- Bangu: Mfumo wa stakabadhi za ghala ni imara
- Africa Agri Expo Marks 10th Anniversary, Expands Focus on Innovation in Agriculture, Food and Livestock
- REA Zambia yafurahishwa na ubora wa miradi ya umeme Vijijini Tanzania
- MD Twange atoa rai kwa mameneja TANESCO kuongeza kasi kupambana na wizi wa miundombinu ya umeme
- Wiki ya Utumishi wa Umma yasogeza huduma za Taasisi za Umma karibu na wananchi
- Serikali yawakuna wabunge waimwagia sifa marekebisho ya kodi, ushuru na bidhaa
- Prof. Shemdoe : Maafisa utumishi waliokwamisha watumishi kupanda madaraja wachukuliwe hatua
- Wizara ya Nishati yaendelea kutumia nishati safi Expo kutoa elimu kwa wananchi
- FCC yaongeza uhamasishaji kuelekea Siku ya Udhibiti wa Bidhaa Bandia
Copyright 2025
Cookie Consent
We use cookies to improve your experience on our site. By using our site, you consent to cookies.
Cookie Preferences
Manage your cookie preferences below:
Essential cookies enable basic functions and are necessary for the proper function of the website.
