JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Biteko : Watendajji wazembe TANESCO kuanza kuchukuliwa hatua kila mwezi

WATENDAJI WAZEMBE TANESCO KUANZA KUCHUKULIWA HATUA KILA MWEZI – DKT. BITEKO 📌Asisitiza Kituo cha Huduma kwa Wateja kuongeza ufanisi 📌Tathmini kufanyika kwa Mkataba wa Mtoa Huduma kwa wateja TANESCO 📌 Mameneja wa Mkoa TANESCO kupimwa kwa matokeo 📌TANESCO yatakiwa kujenga…

Biteko achokozwa tena, wezi nguzo za umeme wakamatwa, vigogo wawalindwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MWENYEKITI wa Kijiji cha Chikola Kata ya Mpwayungu Emanueli Mazengo, Machi 30, mwaka huu, saa saba usiku, aliwakamata wezi waliokata nguzo ya umeme wa masafa marefu kwa msumeno na kuisafirisha kwa Trekta Na T 870…

Ajeruhiwa kwa mapanga akidaiwa kuwa ni Popobawa Kisarawe

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe Mkazi wa kijiji cha Vikumburu Wilayani Kisarawe ,mkoani Pwani, Daud Juma, amejeruhiwa na mapanga katika sehemu mbalimbali za tumbo lake na kikundi cha vijana walioambatana na Mwenyekiti wa kijiji hicho Ramadhan Chaka wakidai anaingilia wanawake…

Mgonjwa aliyepandikizwa figo ya nguruwe atoka hospitali

Mwanaume wa kwanza kupandikizwa figo iliyobadilishwa vinasaba kutoka kwa nguruwe ameruhusiwa kutoka hospitalini. Mtu huyo mwenye umri wa miaka 62 aliruhusiwa kwenda nyumbani, wiki mbili baada ya upasuaji wa dharura katika Hospitali Kuu ya Massachusetts (MGH). Upandikizaji wa viungo kutoka…

Majaliwa : Mapato ya ndani yafikia trilioni 17

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kati ya Julai, 2023 na Januari, 2024 Serikali imefanikiwa kukusanya sh. trilioni 17.1 ambazo ni sawa na asilimia 95.9 ya lengo la kukusanya sh. trilioni 17.9. Ametoa kauli hiyo leo (Jumatano, Aprili 3, 2024), wakati…

Dkt.Tax ajivunia ulinzi na usalama miaka 60 ya Muungano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt .Stargomena Tax amesema suala la amani na utulivu vilivyopo nchini ni moja ya mafanikio ya kazi iliyofanywa na Wizara yake kupitia  sekta ya ulinzi  katika kipindi…