Category: Habari Mpya
Serikali yaelekezwa kuongeza nguvu mapambano dhidi ya Virusi Vya Ukimwi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeshauri serikali kuongeza nguvu ya mapambano dhidi ya virusi vya UKIMWI katika maeneo ya migodi; vituo vya magari makubwa, maeneo ya mialo ya samaki…
Sweden kusaidia ujenzi wa SGR
Na Benny Mwaipaja, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa na Biashara ya Nje wa Sweden, Diana Janse, jijini Dodoma, ambapo Naibu Waziri huyo, amemweleza…
Mafuriko Kilosa, wakazi 1400 waathirika, nyumba 351 zapata madhara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilosa Jumla ya watu 1404 wameathirika na mafuriko ya mvua zinazoendelea kunyesha katika Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro na nyumba 351 zimeingia maji pamoja na vyoo 368 vimebomoka. Hayo yalisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa,…
Wanawake sekta ya uvuvi Afrika watajwa kuwa na mchango mkubwa
Na Edward Kondela, JammhuriMedia, Dar es Salaam Imeelezwa kuwa wanawake wachakataji na wafanyabiashara wa mazao ya uvuvi barani Afrika wana mchango mkubwa katika Sekta ya Uvuvi, hususan katika uchatakaji na kilimo cha mwani. Hayo yamebainishwa jijini Dar es Salaam na…
Trilioni 1.4 kutumika kukabiliana na magonjwa ya Malaria, Ukimwi na TB
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Tanzania imepokea jumla ya dola za kimarekani milioni 602 sawa na trilioni 1.4 za kitanzania kwa ajili ya kukabiliana na magonjwa ya Malaria, Kifua Kikuu na UKIMWI katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia…
Zari, Dowei Care kutoa msaada Muhimbili
Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kampuni ya Dowei Care Technology ambao ni wazalishaji wa Taulo za kike na za watoto (SOFTCARE) wanatarajia kutoa msaada wa bidhaa zao katika Hospital ya Taifa ya Muhimbuli katika kitengo cha huduma za…





