JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Dk Mpango aongoza waombolezaji kuaga mwili wa Hayati Lowassa

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdor Mpango ameongoza mamia ya watanzani leo Jijini Dar es salaam Viwanja vya Kareemjee katika Maombezo ya kuuga Mwili wa aliyekuwa Waziri…

Waziri wa Ulinzi Marekani akimbizwa ICU

Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Lloyd Austin amelezwa katika kitengo cha wagonjwa mahututi mjini Washington kwa matibabu huku ikielezwa kuwa anasumbuliwa na tatizo la kibofu”, maofisa wa Kituo cha Matibabu cha Kijeshi cha Walter Reed walisema. Austin, 70, baadaye alihamishia…

TMDA yapata cheti umahiri katika utendaji

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na masuala ya Ukimwi, Stanslaus Nyongo amesema Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imekuwa kitovu cha umahiri katika tathmini na usajili wa dawa barani Afrika na kuwa na maabara inayotumika…

Rais Samia aweka historia, akutana na Papa Francis Vatican

Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S., Vatican Uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Vatican ulianzishwa kunako tarehe 19 Aprili 19, 1968 na Askofu mkuu Pierluigi Sartorelli akateuliwa kuwa ni Balozi wa kwanza wa Vatican nchini Tanzania, utume alioutekeleza hadi…

Epukeni matumizi yasiyo sahihi ya P2

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewataka wananchi kuepuka matumizi yasiyo sahihi ya vidonge vya kuzuia mimba maarufu kama P2 ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza pale dawa hizo zinapotumika bila utaratibu ikiwemo mvurugiko wa hedhi. Dkt. Mollel amesema hayo…

PAC yaipongoza e-Ga kwa ubunifu,usanifu na utengenezaji mifumo ya TEHAMA yenye tija

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma KAMATI ya Bunge ya Kudumu ya Hesabu za Serikali (PAC), imeipongeza Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) kwa kuendeleza tafiti na bunifu zinazochagiza usanifu na utengenezaji wa mifumo ya TEHAMA inayoleta tija kwa taifa. Pongezi hizo zimetolewa na…