Category: Habari Mpya
Chalamila akabidhi wabunge 10 vifaa tiba vya mil.691/- vilivyotolewa na Serikali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewakabidhi wabunge wa majimbo 10 ya Mkoa wa Dar es Salaam vifaa tiba vya gharama ya shilingi Milioni 691 vilivyotolewa na serikali kwa ajili…
TANESCO: Upatikanaji umeme Mtwara, Lindi kuwa wa historia
Na Cresensia Kapinga , JamhuriMedia, Tunduru Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamhanga amesema kuwa tayari wamemaliza kufunga mitambo ya kupooza umeme kama sehemu ya kuboresha umeme katika maeneo ya mikoa ya Mtwara na Lindi ambayo umeme…
Serikali yakutana na taasisi za kifedha kwa nia ya kuwasaidia wafanyabiashara walioathirika na mafuriko Hanang’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Hanang Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), kupitia Ofisi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu pamoja na Uongozi wa Mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ imekutana wa…
Kipindupindu chaingia Chato, mmoja abainika, Serikali yatoa elimu
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato WAKATI Serikali ikiendelea kutoa tahadhali ya mvua kubwa zinazoendelea kunyesha pamoja na kuimalisha usafi wa mazingira nchini, mwanamke mmoja wilayani Chato mkoani Geita ameripotiwa kupatikana na ugonjwa wa kipindupindu. Mgonjwa huyo (jina limehifadhiwa) ni wa…
Watu 38 wamekufa kwa ajali za moto 2,076 katika kipindi cha mwaka jana nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linatoa pongezi na shukurani kwa vyombo vyote vya habari na wanahabari kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuhabarisha umma juu ya huduma zinazotolewa na jeshi hilo hapa nchini kwa kipindo cha…
Dk Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba miwili ya kihistoria ya gesi asilia
📌 Ni wa mauziano ya Gesi Asilia na ujenzi wa miundombinu midogo ya LNG 📌 Kuwezesha upatikanaji wa Gesi Asilia katika maeneo yote nchini 📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafuatilia kwa karibu miradi ya Nishati 📌 Nchi kuwa na nishati…





