JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Naibu Waziri Pinda atembelea maeneo ya waathirika wa mafuriko Hanang

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Geophrey Mizengo Pinda ametembelea maeneo yaliyoathirika Mafuriko yaliyotokana na maporomoko ya mawe na tope kutoka mlima Hanang. Pinda ametembelea maeneo Desemba 20, 2023 kabla ya kuhudhuria kikao…

Oparesheni maalumu yakamata vifaa tiba vya Serikali ya mil.11.2/- kwenye maduka binafsi nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Vifaa tiba vya Serikali vinavyokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi 11,297,500 vimekamatwa katika vituo na maduka binafsi. Mbali na vifaa hivyo pia dawa mbalimbali za zikiwemo mseto za kutibu Malaria, videngo aina ya ALU, dawa…

Mpango : Uhusiano wa Tanzania na Saudi Arabia waimarika

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Saudi Arabia hapa nchini Yahya Ahmed Okeish, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 19 Desemba 2023. Katika mazungumzo hayo, Makamu…

Ajali yaua kichanga cha miezi sita, mwanamke mmoja baada ya basi kutumbukia mtoni Kisarawe

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe Mwanamke mmoja (35-40)pamoja na mtoto wa miezi sita wamefariki dunia iliyotokea Daru Mzumbwi Kisarawe ,baada ya basi lenye namba za usajili T 275 DRZ aina ya tata kutumbukia kwenye mto na kusababisha vifo hivyo. Aidha…

Chalamila ataka TRA kufanya operesheni maalum ya elimu kwa mlipa kodi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametoa maagizo hayo leo Desemba 18, 2023 wakati wa mkutano maalum wa kimkakati na watumishi wa TRA katika Ukumbi wa Suma JKT, Mwenge-DSM. RCĀ  Chalamila amesema…