Category: Habari Mpya
‘Chukueni tahadhari magonjwa ya upumuaji’
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeutaka umma kuchukua tahadhari juu ya maambukizi ya magonjwa ya mfumo wa upumuaji. Waziri wa Afya wa Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui amesema wananchi wanapaswa kuzingatia hatua zote za kiafya ili kuepukana na maambuzi kwa kuwa ripoti…
Rais Samia awahakikishia umeme wa uhakika wenye viwanda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar RAIS Samia Suluhu Hassan amesema mitambo miwili ya kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP), Rufiji mkoani Pwani itawashwa mapema mwakani na kusaidia kuongeza kiwango cha umeme nchini. Aliyasema hayo jana usiku kwenye…
Hospitali Tunduru yaanza uchunguzi wa kifua kikuu kwa watoto kupitia haja kubwa
Na Muhidin Amri, JamhuriMedia, Ruvuma Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Hospitali ya Wilaya Tunduru mkoani Ruvuma,imeanza kampeni ya kuwapima maambukizi ya ugonjwa wa kifua kikuu watoto wadogo kupitia haja kubwa kutokana na watoto hao kutokuwa na uwezo wa kutoa…
Ulega: Wafugaji lisheni juncao kuongeza mazao ya wanyama
Na Byarugaba Innocent,JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega ametoa rai kwa wafugaji nchini kuilisha mifugo yao nyasi zilizoboreshwa aina ya Juncao ili kuongeza uzalishaji wa maziwa na mazao mengine yatokanayo na wanyama kuifikia tija kwenye sekta ya…
Wizara ya Afya yaielekeza MSD kujiendesha kibiashara na kuwa wabunifu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMwdia, Morogoro Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu ameilekeza Bohari ya Dawa (MSD) kuwajali wateja na kuwashirikisha katika suala zima la kuwapa huduma za mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya nchini. Dkt. Jingu…





