Category: Habari Mpya
Serikali kuajiri watumishi wa afya 10,112
Serikali imesema kuwa mwaka ujao wa fedha itaajiri watumishi wa afya 10,112 ili kukabiliana na upungufu wa watumishi hasa maeneo ya vijijini. Hayo yameelezwa bungeni, Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia…
Serikali inathamini mchango wa matumizi ya nishati safi zote za kupikia
📌 Yawatoa hofu sekta binafsi kudhani nishati safi ni gesi pekee 📌 Mchango wa gesi asilia nishati safi kuchangia asilimia10 miaka kumi ijayo 📌 Umoja wa Ulaya kuendelea kufadhili utekelezaji wa Nishati safi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es salaam…
Wanne wakamatwa wakitorosha mifugo 70 kwa njia za panya Longido
Na Abel Paul, Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo kwa kushirikiana na Mizara ya Mifugo na Uvuvi wamefanikiwa kukamata watuhumiwa wanne na mifugo 70 aina ya Ng’ombe ambayo ilikuwa ikitoroshwa Kwenda nchi Jirani…
Watu wanaoshukiwa kuwa wanajihadi wa Kiislamu waua zaidi ya 80 Kongo
Idadi ya waliouawa imeongezeka hadi 41 kufuatia shambulio la Ijumaa lililofanywa na watu wanaoshukiwa kuwa waasi wa Kiislamu kwenye vijiji vya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, msemaji wa jeshi la Kongo alisema, huku jumla ya watu waliouawa eneo…
Rais Samia akerwa migogoro ya familia
RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini kujenga jamii na taifa kiroho ikiwa ni njia ya kukabili kuporomoka kwa maadili hasa kwenye familia. Rais Samia alisema hayo jana wilayani Sumbawanga kupitia hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Waziri wa…





