JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TANROADS Lindi yarejesha mawasiliano barabara ya Kilwa Masoko -Nangurukuru – Liwale

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Lindi umefanikiwa kurejesha mawasiliano yaliyokuwa yamekatika kati ya Kilwa Masoko-Nangurukulu wilaya ya Kilwa na wilaya ya Liwale mkoani Lindi. Mawasiliano hayo yamereshwa ndani ya saa 24 kupitia kazi…

Ummy : Epukeni matumizi holela ya dawa

Na WAF – Tanga Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewataka Watanzania kuacha matumizi holela ya dawa bila kufuata ushauri wa madaktari ili kuepuka usugu wa dawa dhidi ya vimelea ambapo husababisha dawa hizo kushindwa kuponya. Waziri Ummy amesema hayo Mei…

Wiki ya AZAKI yazinduliwa Dar, Rutenge awashauri wananchi kutoa maoni Dira ya Taifa 2050

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation For Civil Society (FCS) Justice Rutenge, amesema katika kutekeleza Dira ya Taifa 2050 wananchi wanapaswa kupaza sauti zao kwa kutoa maoni  yatakayopelekea kupata Dira bora kwa maendeleo ya jamii…

NMB yapata idhini kuwa wakala wa madalali wa Soko la Hisa la Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya NMB imepata idhini kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Mamlaka ya Soko la Mitaji na Dhamana (CSMA) kuwa wakala wa madalali wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE). Kupitia…

Prof. Janabi : Viongozi wenzangu toeni maamuzi na kutatua changamoto kwa wakati

Na MwandishibWetu, JamhuriMesldia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Prof. Mohamed Janabi amewataka viongozi wa hospitali hiyo kutoa maamuzi na kutatua changamoto zinazojitokeza katika maeneo yao ya usimamizi kwa wakati ili kuendelea kutoa huduma bora. Prof….

Iran kufanya uchaguzi mkuu wa rais Juni 28

Iran imetangaza kuwa itafanya uchaguzi wa rais mnamo Juni 28, 2024 kufuatia kifo cha rais Ebrahim Rais na maafisa wengine katika ajali ya helikopta wakati mazishi yakitarajiwa kufanyika Jumanne. Ripoti za vyombo vya habari vya taifa nchini Iran, zinasema kuwa…