JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Dereva wa Shabiby akamatwa kusababisha ajali iliyojeruhi 22

 POLISI mkoani Morogoro inamshikilia dereva wa basi la Kampuni ya Shabiby lenye namba za usajili T 341 EEU, Said Malugula akituhumiwa kusababisha ajali iliyojeruhi abiria 22, baada ya basi hilo kupinduka eneo la Kihonda kwa Chambo mkoani Morogoro. Kamanda wa…

Serikali imedhamiria kuendelea kutekeleza agenda ya uchumi wa viwanda – Dk Biteko

📌Tanzania na Uganda kuendelea kushirikiana kukuza biashara na diplomasia 📌 Serikali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta na gesi kwa bei nafuu na kuongeza ushiriki wa wananchi katika uchumi wa viwanda 📌Serikali za Tanzania na Uganda zaingia makubaliano kuimarisha sekta ya nishati…

JKT lawaita vijana kujiunga na Mafunzo kwa mujibu wa sheria

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma JESHI la kujenga Taifa (JKT )limetoa wito kwa Vijana waliohitimu Elimu ya Sekondari Kidato cha sita kwa Mwaka 2024 kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria Mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria ili kujengewa uzalendo ,…

Watatu mbaroni kwa kumteka mtoto na kutaka wapewe milioni 20

Na Abel Paul , Jeshi la Polisi- Kilimanjaro Jeshi la Polisi limesema limefanikiwa kumpata mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 5 mwanafunzi wa shule ya awali Isaiah Samartan iliyopo jijini Mbeya aliyeripotiwa kupotea Mei 15,2024 muda wa saa 11:45…

Majaliwa ataka wavamizi wa rdhi kuchukuliwa hatua kama jinai nyingine

Na Munir Shemweta, WANMM Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kasim Majaliwa Majaliwa amezitaka taasisi zinazoshughulika na masuala ya ya jinai kuhakikisha zinachukua hatua dhidi ya wavamizi wa ardhi kama jinai nyingine. Mhe. Majaliwa ametoa kauli hiyo…

TAPSEA jiendelezeni kitaaluma kuendana na mabadiliko ya teknolojia – Dk Biteko

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto wa makatibu mahsusi nchini  kujiendeleza kitaaluma ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia sambamba na kuboresha utendajikazi wao. Ameyasema hayo leo…