JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Chalamila atoa rai kwa waliokaidi kufanyia biashara katika Soko la Mwenge kurudi mara moja

Na Mwandishi wetu JAMHURI MEDIA Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Albert Chalamila ametoa rai kwa wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga waliolikimbia soko la Mwenge Cocacola kurudi mara moja katika maeneo rasmi waliyopangiwa ndani ya wiki…

Waraibu kunufika na mikopo ya asilimia 10

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Serikali imefikia uamuzi wake wa kuongeza kundi la waraibu wa dawa za kulevya katika wanufaika wa mikopo ya fedha zitokanazo na asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri nchini ili waweze kufanya shughuli za…

Serikali yatoa mil.893/- kuboresha miundombinu shule za msingi Songea

Na Albano Midelo,JamhuriMedia,Songea Serikali imetoa shilingi milioni 893 kupitia mradi wa uboreshaji miundombinu ya shule za msingi (BOOST) katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Dkt.Frederick Sagamiko wakati anatoa taarifa ya utekelezaji wa…

MSD yawanoa watumishi kada ya madereva

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Watumishi wa MSD wa kada ya udereva, wamejengewa uwezo kupitia mafunzo mbalimbali yanayoandaliwa na taasisi hasa katika eneo la huduma kwa wateja wakati wa usambazaji bidhaa za afya. Mafunzo hayo yanayofanyika mkoani Morogoro yamekutanisha madereva wote…

Majaliwa: Mjadala wa bandari usiligawe taifa

……………………………… Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema mjadala unaoendelea kuhusu uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam usiligawe Taifa kwa sababu Serikali ya awamu ya sita ni sikivu. “Mjadala unaoendelea kuhusu bandari ya Dar es Salaam usitugawe Watanzania. Usipelekee tukasambaratika. Tusitumie…