Category: Habari Mpya
AFF na Muhimbili kuimarisha ushirikiano
Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Dar es Salaam Taasisi ya African Future Foundation (AFF) ya nchini Korea itaendelea kushirikiana na Hospitali ya Taifa Muhimbili (Mloganzila) ili kuongeza ujuzi na weledi kwa watalaamu wa Hospitali hiyo. Hayo yamesemwa leo na Rais…
Assemble waipa Muhimbili luninga 10
Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA, Dar es Salaam. Kampuni ya Bima ya Assemble Insurance (T) Ltd imetoa msaada wa luninga 10 kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili ikiwa ni sehemu ya mpango wa kampuni hiyo kurejesha kwa jamii. Akipokea msaada huo…
Wasomi na wanazuoni watoa dira kwa Polisi katika mabadiliko ya teknolojia na uhalifu
Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi-Dar es Salaam Wasomi na wanazuoni wameliomba Jeshi la Polisi kuendana na mabadiliko ya duniani ya sasa ambayo imejikita zaidi katika tehama na tafiti ambazo zitaleta tija katika jamii na Taifa kwa ujumla husasani…
Odinga kuongoza maandamano dhidi ya Serikali ya Rais Ruto
Kiongozi wa upinzani Raila Odinga anatarajiwa kuongoza maandamano nchini Jumanne. Haya yanajiri baada ya Rais William Ruto kutia saini mswada Fedha 2023 na kuufanya kuwa sheria. Kuporomoka kwa mazungumzo ya wanachama 14 ya pande mbili kati ya masuala mengine ndio…
Jamii yatakiwa kuwekeza kwenye afya ya mtoto kuchochea uchumi wa nchi
Na Dotto Kwilasa, Jamhurimedia ,Dodoma Asilimia 66 ya watoto kuanzia umri wa siku 0 hadi miaka 8 katika jangwa la Sahara wanakabiliwa na kutokuwa na utimilifu wa akili jambo ambalo linaweza kusababisha kuwa na watu ambao hawawezi kuwa na uhakika…





