JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Wabunge wafurahishwa utekelezwaji mradi wa bomba la mafuta ghafi EACOP

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameusifu mradi wa bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) kwa kutoa fidia nzuri kwa waliopitiwa na mradi huo na kutoa kipaumbele katika maeneo mengine ikiwemo utunzaji wa mazingira….

Bashungwa awakabidhi majenerali wastaafu magari mapya

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Innocent Lugha Bashungwa (Mb) amewakabidhi Magari Mapya, Jenerali George Marwa Waitara (Mstaafu) pamoja na Jenerali Robert Philemon Mboma (Mstaafu) tukio lililofanyika Ofisi za Wizara, Mtumba Jijini Dodoma. Akikabidhi Magari hayo, Mheshimiwa…

Majeruhi18 wa ajali ya uwanja wa Mkapa

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amewajulia hali majeruhi 10 wanaoendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya Temeke waliojeruhiwa kutokana na tukio la kukanyagana katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wakijiandaa kuingia kutazama mechi kati…

Majaliwa: Tutauenzi mchango wa wakili Nimrod Mkono

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inatambua na kuthamini mchango mkubwa uliotolewa na aliyewahi kuwa Mbunge wa Butiama mkoani Mara, Marehemu Wakili Nimroad Mkono na kwamba itaendelea kumuenzi kwa kazi nzuri alizofanya. “Serikali imepoteza mtu muhimu, itaendelea kutambua mchango alioutoa…

Chongolo: Watanzania wanamnyima usingizi Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amesema matamanio ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ni kuona changamoto za wananchi kwenye maeneo yao zinatatuliwa na kuleta matokeo chanya kama ilivyokusudiwa. Chongolo ametoa kauli…