Category: Habari Mpya
Makosa ya ajali barabarani yaongezeka Aprili 2024 Zanzibar
Jumla ya ajali 18 zimeripotiwa mwezi wa Aprili, 2024 Wilaya ya Kaskazini ‘A’ na Kaskazini ‘B’ zimeripotiwa kuwa na ajali zaidi ambazo ni nne (4) kwa kila wilaya sawa na asilimia 22.2 ikilinganishwa na wilaya nyengine. Akitoa taarifa ya Makosa…
RAS Nguvila : Mamlaka za Serikali shirikianeni vema sio kutunishiana misuli
-Afungua na kufunga Kikao kazi Cha Robo Mwaka -Aelezea Umuhimu wa Kikao kazi Cha Robo Mwaka -Atoa Maagizo yafuatayo kwa MSM na Taasisi za Serikali Dsm Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt.Toba Nguvila amezitaka Taasisi za Serikali…
Wananchi waipongeza TANROADS Morogoro kurejesha miundombinu ya barabara Malinyi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Morogoro Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameipongeza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kuendelea na kazi ya urejeshaji wa miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imeathiriwa na mvua zinazoendelea…
Edward Mpogolo kukabidhi vifaa kupimia urefu watoto na bajaji hospitali za Ilala
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema itaendelea na jitihada za kuhakikisha inajenga vituo vingi vya afya na kuboresha miundombinu ikiwemo vifaa tiba na usafiri ili kusaidia kila mtu anapohitaji huduma kat za afya anahudumiwa vizuri na watoa…
Nishati safi ya kupikia imebeba ajenda kubwa ya mazingira – Kapinga
📌 Ampongeza Rais Samia kinara nishati safi 📌 Awataka wananchi wa Msomera kubeba ajenda ya nishati safi 📌 Matumizi ya kuni sasa basi Msomera 📌 Serikali yagawa majiko banifu na gesi, yagharimu zaidi ya milioni 200 Na Mwandishi Wetu, Msomera…
Asilimia 4 Kati ya 67 ya watoto wanaotumia mitandao ya kijamii wamekumbana na uonevu, ukatili
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Kutokana na mapinduzi ya teknolojia ya habari na mawasiliano, Serikali imesema asilimia 67 ya watoto walio umri wa miaka 12 hadi 17 wanatumia mitandao ya kijamii ambapo, kati yao ssilimia 4 wamefanyiwa vitendo vya ukatili na uonevu…





