JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Serikali kuwasomesha wataalamu ili kupambana na magonjwa ya saratani

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Katika kuboresha upatikanaji wa huduma za matibabu ya saratani nchini,Serikali kupitia Wizara ya Afya ipo mbioni kuanza kuwasomesha wataalamu wa afya ili kuwapeleka katika hospitali za mikoa . Aidha itahakikisha hospitali zote za Rufaa za…

RC Kunenge:Tanzania ina kila sababu ya kujivunia ilivyoweza kulinda muungano

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Tanzania ina kila sababu ya kujivunia namna ambayo imeweza kulinda na kuudumisha Muungano wetu. Mkuu wa Mkoa wa Pwani,alhaj Abubakar Kunenge alitoa kauli hiyo wakati akifungua Kongamano la miaka 59 ya Muungano wa Tanzania, lililofanyika…

Sekta ya utalii yaunganishwa na mifumo ya kielektroniki ya utoaji leseni

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imeunganisha mifumo ya utoaji leseni katika Sekta ya Utalii kupitia mfumo wa kieletroniki wa MNRT – Portal kwa lengo la kuongeza tija katika utoaji wa huduma na kurahisisha mchakato wa utoaji wa leseni…

Waziri Jafo awasilisha hotuba ya bajeti

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewasilisha bungeni Hotuba ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa mwaka 2022/23 na 2023/24 na Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2022/23….

Mafanikio ya STAMICO yamkosha Msajili Hazina

Msajili Mkuu wa Hazina, Nehemiah Mchechu amelipongeza Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) baada ya uongozi wake kufanikiwa kuleta mageuzi makubwa na kulifanya shirika kuanza kuzalisha faida. Hatua hiyo inakuja wakati mwaka jana shirika hilo ambalo lilifikisha miaka 50 tangu…

Namtumbo waipata tano Serikali kwa upatikanaji huduma za upasuaji

Wananchi wa Wilaya ya Namtumbo wameishukuru Serikali kwa kuwezesha upatikanaji wa huduma za upasuaji kwa akina mama wajawazito wanaopata changamoto za kujifungua,huduma ambayo imeanza miezi sita iliyopita. Wananchi hao wameeleza kuwa awali, huduma za upasuaji kwa ajili ya uzazi zilikuwa…