Category: Habari Mpya
Tuzo za NSCA kwa wanamichezo kutolewa Ijumaa
Na Tatu Saad,JamhuriMedia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Baraza la Michezo Tanzania ‘BMT’ linategemea kutoa tuzo kwa wana michezo mbalimbali Ijumaa Machi 17,2023. Tuzo hizo zijilikanazo Kama National Sports Council…
Malezi yazingatie maadili ya Mtanzania
Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo inawasisitiza wazazi, walezi na walimu kuzingatia maadili katika malezi ya watoto nyumbani,shuleni na vituo vya malezi ili kutoa huduma ya malezi kwa watoto kwa kuzingatia maadili ya Mtanzania. Hayo yamesemwa…
Mtibwa Sugar yatoa shukrani
Na Tatu Saad,JAMHURIMedia Klabu ya walima miwa kutoka mjini Morogoro ‘Mtibwa Sugar’ imetoa shukrani zake kwa wote waliokuwa nao katika kipindi kigumu cha msiba wa aliyekuwa mchezaji wao Iddy Mobby Mfaume. Kabla ya kukutana na wekundu wa msimbazi Machi 11,…





