Category: Habari Mpya
Dkt.Jingu:Wakulima tuongeze msukumo wa kufanya kilimo chenye tija
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu ametoa rai kwa wakulima kuongeza msukumo katika kilimo chenye tija kwa kutumia mbinu za kisasa za kilimo ambazo zinahusisha teknolojia ili…
Jaji Mkuu aainisha mambo sita muhimu yanayohitaji kuzingatiwa
Na Faustine Kapama-Mahakama Jaji Mkuu wa Tanzania,Prof. Ibrahim Hamis Juma amezindua Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Utumishi wa Mahakama na kusisitiza mambo sita kwa wajumbe, ikiwemo kuzingatia maadili na kutunza ziri za ofisi, ambayo yanahitaji kuzingatiwa wanapotekeleza majukumu yao…
MOI yasogeza huduma za kibingwa Bagamoyo
Na Mwanadishi Wetu,JamhuriMedia Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili MOI kwa kushirikiana na Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo zimeendesha kliniki maalum (MOI Mobile clinic kwa wa kazi wa Bagamoyo ambapo zaidi ya wagonjwa 150 wamehudumiwa. Kliniki hiyo imehusisha huduma za…
DC Shaka akemea rushwa kwa watendaji
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro Shaka Hamdu Shaka amekemea baadhi ya watumishi ambao wamekua sio waadilifu Kwa kuendekeza rushwa Jambo ambalo linachangia Kuongezeka kwa migogoro ya ardhi wilayani humo. DC Shaka ameyasema hayo katika Baraza la Madiwani wilayani…
Ridhiwani agawa pikipiki kwa watendaji wa kata Chalinze
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Chalinze Naibu Waziri wa Ardhi ambae pia ni mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete amegawa pikipiki kwa watendaji wa kata 6 za Halmashauri ya Chalinze, pamoja na kutembelea kiwanda cha Uzalishaji wa marumaru cha Keda. Pia, amepokea…





