Category: Habari Mpya
Moto wateketeza bweni la wanafunzi sekondari ya Lugarawa Njombe
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Njombe Wanafunzi 82 wa shule ya sekondari Lugarawa wilayani Ludewa mkoani Njombe wamenusurika kuungua baada ya bweni lao kuteketea kwa moto na kuunguza mali za wanafunzi na za shule zenye thamani zaidi ya sh. milioni 18. Akizungumza…
Mwalimu mbaroni kwa kumjeruhi kwa fimbo mwanafunzi akimtuhumu kuiba maandazi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwalimu wa shule ya Sekondari Loiler iliyopo Mji Mdogo wa Mbalizi mkoani Mbeya,Peter Emmanuel (29),kwa tuhuma za kumshambulia fimbo mwanafunzi kwa madai ya kuiba maandazi matano. Kamanda wa Polisi Mkoa…
Jamii yatakiwa kushirikiana na walimu ili kuboresha taaluma
Na OMM Rukwa Jamii imetakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu ili kuleta ufanisi utakaochangia kuboresha taaluma ya wanafunzi wa madarasa ya awali na la kwanza kwenye shule za msingi za umma . Kauli mbalimbali zimetolewa jana na walimu wanaoshiriki mafunzo ya…
AAFP yaiangukia Serikali mfumuko wa bei
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Chama Cha Wakulima (AAFP), kimeishauri serikali kudhibiti usafirishaji wa chakula nje ya nchi ili kuzuia mfumuko wa bei na uhaba wa vyakula nchini. Rai hiyo imetolewa jiijini Dar es Salaam leo Februari 15,2023 na Mwenyekiti Taifa wa…
Majaliwa:Jiridhisheni na miradi ilingane na thamani ya fedha iliyotolewa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imefanya kazi kubwa ya kuhakikisha inatekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi, hivyo ni jukumu la viongozi kuikagua na kujiridhisha kama utekelezaji wake unafanyika kwa viwango vilivyokusudiwa na unalingana na thamani…
Mvua kubwa ya mawe yaacha vilio Tabora
…………………………………………… Mvua kubwa ya upepo iliyoambatana na mawe imeharibu zaidi ya ekari 15 kati ya 75 za zao la Tumbaku zilizolimwa na kusababisha hasara kubwa kwa baadhi ya wakulima wa Chama cha Msingi cha Ushirika wa Wakulima wa Tumbaku Ngulu,…





