JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

#Live: Rais Samia ashuhudia utiaji sani mradi wa gridi ya taifa

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassani anatarajia kushuhudia utiaji saini wa mikataba ya umeme gridi ya taifa Ikulu ya Magogoni jijini Dar es Salaam leo Februari 14, 2023. Unaweza kutufuatilia mubashara kupita Youtube Chennel ya Ikulu Mawsiliano hapa chini, endelea kuwa…

Serikali yapiga marufuku vitabu visivyo na maadili kutumika shuleni

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imepiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vinavyokwenda kinyume na maadili kwenye Shule na Taasisi zote za Elimu. Vitabu hivyo vimepigwa marufuku na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda kwa mamlaka aliyopewa…

Tanzania kunufaika na mabilioni kulinda mazingira

Tanzania inatarajia kunufaika na mradi wenye thamani ya Shilingi 120 Bilioni kwa ajili ya miradi ya uhifadhi wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi kutoka Mfuko wa Mazingira wa Dunia (GEF). Hayo yamesemwa leo Jumatatu (Februari 13, 2023) Jijini Dodoma na…

Serikali yatangaza kupeleka aina 10 za bidhaa soko huru Afrika

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imetangaza kuwa kuanzia Julai Mosi mwaka huu itaanza kupeleka aina 10 za bidhaa katika Soko la Huru la Biashara Afrika ambalo Tanzania ni mwanachama. Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda…

Waziri Kikwete awaonya Manyara kujiepusha na migogoro ya ardhi

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete amemuelekeza Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Manyara kuweka mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi na kuwapatia hati wakazi wa eneo la ekari 2,390 zilizotolewa na Rais…