Category: Habari Mpya
Mkutano Jukwaa la Uziduaji kufanyika Dodoma wiki ijayo
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Mkutano wa Jukwaa la Kitaifa la Uziduaji unatarajiwa kufanyika jijini Dodoma kati ya Novemba 24 hadi 25, 2022. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa HakiRasilimali, Adam Anthony, mkutano huo wanauandaa ili kutoa fursa kwa wadau wa sekta…
Serikali yakiri mgonjwa wa homa kunyweshwa dawa ya upele
Gazeti la JAMHURI Toleo namba 581 la Novemba 15-21, 2022 lilichapisha taarifa yenye kichwa cha habari kilichosomeka “Mgonjwa wa homa ‘anyweshwa’ dawa ya upele”. Habari hiyo ilimuhusu mwanamke (50) aliyekwenda kutibiwa homa katika Hospitali ya Misheni Bwagala iliyoko Turiani, Mvomero…
TMA: Wadau fuatilieni taarifa ya hali ya hewa hasa kipindi hiki
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi,Profesa Makame Mnyaa Mbarawa (MB) ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) lililopo katika maonesho yaliyoandaliwa na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kwa lengo la kutangaza kazi za taasisi mbalimbali zilizopo chini ya…
Uzinduzi sera ya ubia utaongeza kasi ya maendeleo NHC,Taifa
Na Stella Aron, JamhuriMedia Serikali imeliagiza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),kusimamia imara miradi itakayoingia ubia na wawekezaji ili kutekelezwa kwa ufanisi na tija ili miradi itakayotekelezwa, itekelezwe kwa ufanisi na tija kwa taifa na mwekezaji husika. Hayo yamesemwa na…
‘Walengwa TASAF tumieni fursa ya mkopo kuboresha maisha’
Na Veronica Mwafisi,Kasulu Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi amewataka walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kuendelea kuboresha maisha yao kwa kutumia fursa ya uwepo wa mikopo ya vikundi ya…





