Category: Habari Mpya
‘Tulilinde daraja la Wami lilivyosanifiwa kwa miaka 120 ijayo’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Pwani Daraja jipya la kisasa Wami ambalo linaunganisha mikoa ya Dar es Salaam, Pwani pamoja na mikoa ya Kaskazini limeanza kutumika rasmi oktoba 27, mwaka huu ambapo linakwenda kuwa tija kwa takriban miaka 120 ijayo. Aidha daraja hilo,…
Bodi yaanza kukabiliana na upungufu wa maji Ruvu
Serikali kupitia Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu imeanza kukabiliana na changamoto ya upungufu wa kina cha maji cha mto Ruvu na mto Wami kwa kuanza kutoa vibari kwa mamlaka za maji kuchimba visima vitakavyosadia kupunguza adha ya maji…
EBN yachimba mabwawa kusaidia wanyamapori kukabiliana na Ukame
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Babati Taasisi EBN ambayo inamiliki Kitalu Cha uwindaji katika eneo la jumuiya ya uhifadhi wa Wanyamapori ya Burunge ,imechimbwa bwawa ili kusaidia wanyamapori kupata maji. Uamuzi huo umefikiwa kutokana na Ukame unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi umeanza…
Watoto sita wa familia moja wapatikana na Ebola Uganda
Watoto sita wa familia moja ya Kampala wamepata maambukizi ya ugonjwa wa Ebola, wamesema maafisa katika mji mkuu Kampala. Kwa wiki nne madaktari wamekuwa wakitoa wito wa hatua kali za kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusi mjini Kampala. Virusi vya…
Ofisi ya Msajili Hazina yatembea na Rais, yakusanya bil.852.98/-
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma HADI kufikia Juni 30, mwaka huu Ofisi ya Msajili wa Hazina imekusanya mapato yasiyo ya kodi ambayo yanajumuisha gawio, michango ya asilimia 15 ya mapato ghafi na mapato mengineyo kiasi cha Sh. Bilioni 852.98 sawa na asilimia…
TMA yatoa ushauri wa kupanda mazao yanayokomaa muda mfupi
Na Stella Aron,JamhuriMedia,Dar MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imewashauri wakulima kupanda mazao na mbegu zinazokomaa kwa muda mfupi na zinazostahimili upungufu wa mvua kama vile mazao jamii ya mizizi, mikunde na mazao ya bustani. Ushauri huo umetolewa na…





