Category: Habari Mpya
Wananchi Manispaa ya Songea waiangukia TANROADS
Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea WAKAZI wa Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma wameiomba Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuona umuhimu wa kuharakisha ujenzi wa Barabara ya Mtwara Corrido (Songea by Pass) ambayo itasaidia kuondoa msongamano wa maroli katikati ya mji…
Sheria maalumu ya kulinda maeneo ya kilimo mbioni kutungwa
Na Munir Shemweta,JamhuriMedia, Simiyu Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amesema serikali ipo njiani kutunga sheria maalum kwa ajili ya kilimo ili kulinda maeneo yote yanayofaa kwa kilimo katika azma yake ya kukuza sekta ya kilimo nchini. Naibu Waziri Mavunde…
Mpango atoa pole msiba wa dada wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo tarehe 17 Oktoba 2022 ameshiriki ibada ya kuaga mwili wa Bi.Grace Makalla ambaye ni Dada wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla, Ibada iliofanyika…
Serikali yatoa tahadhari dhidi ya ugonjwa wa kipindupindu
Waziri wa Afya nchini Malawi alitoa taarifa kwa umma juu ya uwepo wa mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu tangu ulipothibitishwa mwezi Machi, 2022. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mganga Mkuu wa Serikali Aifello Sichalwe, imesema kuwa mlipuko umekwishaenea katika…
Majaliwa:Miradi yote iliyoanzishwa itakamilika
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza miradi yote ya kimkakati nchini na kwamba hakuna mradi wowote utakaokwama. Amesema hayo leo Oktoba 16, 2022 wakati alipokagua maendeleo ya…





