Category: Habari Mpya
Rais Samia atoa bil.5/- kurejesha miundombinu ya barabara, madaraja Lindi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali hapa Nchini ikiwemo katika Mkoa wa Lindi ambapo zimesababisha uharifu mkubwa wa miundombinu ya barabara na madaraja. Mvua hizo katika baadhi ya maeneo zilikwamisha shughuli za…
Mahakama yaelezwa Nathwani alivyotoa lugha za matusi kwa Kihindi na kumjeruhi jirani yake
Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam MSIMAMIZI wa Msikiti wa Wahindi Lohana, Ankit Dawda (32) ameileza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jinsi wanandoa Bharat Nathwan (57) na Sangita Bharat (54) walivyomshambulia jirani yao Lalit Ratilal na…
Madaktari 1,109 kunufaika na ufadhili wa Rais Samia masomo ya ubingwa bobezi 2023/24
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Dkt. Samia Super-Specialized scholarship Programme imetoa nafasi za ufadhili wa masomo ya ubingwa na ubingwa bobezi ambapo kwa mwaka wa masomo 2023/2024, jumla ya Shilingi 10.9 bilioni zimetengwa na kuwawezesha wanafunzi 1,109 kwenye…
Miaka mitatu ya Rais Samia Mwakiposa afunguka
Na Mwandishi Wetu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekii wa Mtaa wa Dovya Kata ya Bunju Manispaa ya Kinondoni Anasisye Lazarus Mwakiposa amesema kuwa miaka Mitatu ya Uongozi wa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan Mtaa huo umetekeleza Vyema Ilani ya Chama Cha…
TMA yatoa tahadhari uwepo mgandamizo wa upepo
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema kuna uwezekano wa kutokea kwa Kimbunga kamili hadi kufikia kesho tarehe 2 Mei 2024 kutokana na uwepo wa mgandamizo mdogo wa hewa katika Bahari ya Hindi…
Serikali kuendelea kuboresha huduma za saratani nchini – Dk Biteko
📌 Azindua Kituo cha Matibabu ya Saratani cha Aga Khan 📌 Ataka utoaji huduma usiwe wa kibaguzi 📌 Aelekeza Aga Khan kushirikiana na Taasisi ya Ocean Road kutoa huduma za mionzi 📌 Dkt. Samia atoa sh. Bilioni 10 kusomesha Madaktari…





