JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Odinga hatambui matokeo ya urais Kenya

Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya, kupitia wa Azimio la Umoja, Raila Odinga Raila, amekataa matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Agosti 9, 2022, yaliyotangazwa jana na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya, Wafula Chebukati. Jana, Chebukati…

Ruto ndiye rais mteule wa Kenya

Mwenyekiti wa Tume ya Uvaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya, Wafula Chebukati ametangaza mgombea wa kiti cha urais William Ruto kuwa mteule wa nafasi ya kiti cha uraiswa kupata kura 7,176,141 sawa na asilimia 50.49. Mgombea huyo ambaye amechuana vikali…

Wakala mkuu wa Odinga azuiwa kuingia Bomas

Wakala mkuu wa mgombea wa urais kwa tiketi ya Azimio la Umoja kwenye kituo cha kuhakiki na kutangaza kura za urais cha Bomas, Saitabao Kanchory jana Jumamosi Agosti 13, 2022 alizuiliwa kuingia kwenye sehemu ya kuhesabia kura (auditorium) na polisi…