Category: Kimataifa
Tanzania yaiahidi Uganda kuendeleza ushirikiano miradi ya kimkakati
#Dkt. Biteko awasilisha salamu za Rais Samia miaka 61 ya Uhuru wa Uganda Na Neema Mbuja, JamhuriMedia, Kampala Serikali ya Tanzania imeahidi kuendeleza Ushirikiano, Umoja na Mshikamano na nchi ya Uganda kwa manufaa ya nchi zote mbili. Hayo yameelezwa na…
Nchi za Afrika zatakiwa kushirikiana kukabiliana na changamoto za ongezeko la idadi ya watu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Algiers Wakuu wa nchi za kiafrika za kiafrika wametakiwa kuweka msukumo wa pamoja ili kukabiliana na changamoto zinazotokana na ongezeko kubwa la idadi ya watu Barani Afrika. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu wa Algeria Aymen Ben…





