Category: Kimataifa
Futari iliyoandaliwa na Biden yasusiwa
Mualiko wa futari wa Biden kusherehekea mwezi Mtukufu wa Ramadhan umesusiwa, huku vikundi vya Waislamu vikisusia na kuandaa maandamano ya kupinga uungaji mkono wa Biden kwa kuzingirwa kwa Gaza na vita vya kikatili vya Israeli dhidi ya Gaza. Ikulu ya…
Tetemeko la ardhi lenye nguvu zaidi katika miaka 25 laikumba Taiwan
Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.4 katika kipimo cha Richter lilitokea kwenye pwani ya mashariki ya Taiwan siku ya Jumatano, na kutoa tahadhari ya tsunami katika kisiwa hicho na nchi jirani. Chanzo cha tetemeko hilo kinapatikana takriban 18km (maili…
Malawi yatangaza ukame kuwa janga la kitaifa
Malawi imetangaza kuwa janga la kitaifa hali ya ukame inayokumba sehemu kubwa ya nchi hiyo. Tangazo hilo linakuja chini ya mwezi mmoja baada ya taifa jirani la Zambia kuchukua hatua kama hiyo. Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ameomba zaidi ya…
Urusi yashambulia kituo cha kuhifadhi gesi Ukraine
Kituo cha chini ya ardhi cha kuhifadhi gesi nchini Ukraine kimeshambuliwa jana katika wimbi la karibuni la mashambulizi ya makombora ya Urusi kwenye vituo vya umeme. Hayo yamejiri wakati maafisa wakirejesha huduma za umeme katika miji, kuamuru ununuzi wa umeme…
Hamas yasema waliokufa tangu kuanza kwa vita ni 32,142
Wizara ya afya ya Ukanda wa Gaza inayoongozwa na Hamas imesema leo Jumamosi kuwa takriban watu 32,142 wameuwawa huku wengine 74,412 wamejeruhiwa tangu kuanza kwa vita kati ya vikosi vya Israel na kundi la Hamas. Uharibifu unaotokana na mapigano yanayoendelea…
Tanzania, Kenya zakubaliana kutatua vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru
Tanzania na Kenya zimekubaliana kuendelea kutatua vikwazo vya kibiashara visivyo vya kiushuru kwa kuwa na Mpango wa pamoja wa kuwianisha tozo, ada , ushuru, ada na sheria au taratibu zinazoathiri biasharabaina ya pande hizi mbilmasharti mengine yanayoathiri biashara pamoja na…





