Category: Kimataifa
Trump awatolea wito Putin na Zelensky kufikia makubaliano
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwa sasa rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine anaonekana kuwa mtulivu na mwenye nia ya kutaka kufikia makubaliano ya amani. Aidha Trump ameusifu mkutano wao siku ya Jumamosi mjini Vatican, huku akimtaka pia rais wa…
Israel yashambulia mji mkuu wa Lebanon, Beirut
Israel ilifanya mashambulizi ya angani katika vitongoji vya kusini mwa Beirut siku ya Jumapili, baada ya kuamuru kuhamishwa kwa wakazi waliokuwa wakiishi katika jengo ambalo ilisema lilikuwa linatumiwa na kundi linaloungwa mkono na Iran la Hezbollah. Shambulio hilo lilitokea licha…
Viongozi wa ulimwengu, maelfu wamuaga Papa Francis
Viongozi wa ulimwengu, makasisi na umati wa watu mapema hii leo walikusanyika kwenye Uwanja wa Mtakatifu Petro mjini Vatican kwa ajili ya mazishi ya Kiongozi wa Kanisa Katoli ulimwenguni Papa Francis. Kadinali wa Italia Giovanni Battista Re aliongoza Ibada ya…
Papa Francis azikwa
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amezikwa hii jana mjini Roma, katika mazishi yaliyohudhuriwa na maelfu ya watu wakiwemo viongozi wa dini na marais kutoka kote uliwenguni. Papa Francis amezikwa kwenye Kanisa alilolichagua la Mtakatifu Maria Maggiore mjini Roma,…
Watu 200,000 wahudhuria mazishi ya Papa Francis
Uongozi wa Kanisa Katoliki Duniani umesema takriban watu 200,000 wamehudhuria misa ya mazishi ya Papa Francis iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican. Licha ya uwepo wa marais na wakuu wa nchi, mazishi ya Papa Francis yamehudhuriwa na…
Trump atoa wito kwa Urusi kusitisha mashambulizi Ukraine
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi kusitisha mashambulizi dhidi ya Ukraine, saa chache baada ya Urusi kuishambulia Ukraine kwa makombora na droni. Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi…