Category: MCHANGANYIKO
Polisi : Taarifa wagombea Katavi, Kigamboni ni za kutengeneza
Zipo taarifa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vingine inayoonyesha kutolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Katavi, Roda Kunchela ikieleza kuwa, mgombea wa Mtaa wa Miembeni Kilimahewa kupitia CHADEMA, Nsajigwa Mwandembwa alikamatwa na Polisi akiwa nyumbani kwake. Aidha, ameeleza…
Rais Samia kufungua mkutano mkuu wa Chama cha Majaji na Mahakimu wa Afrika Mashariki
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni Rasmi kwenye Mkutano Mkuu wa 21 wa chama cha majaji na mahakimu wa Afrika Mashariki (EAMJA) unatarajiwa kufanyika jijini hapa kuanzia…
Tanzania yaendelea kupaa utalii tiba
Na Mwandishi Wetu MADAKTARI bingwa 20 kutoka hospitali kubwa nchini wamesafiri kwenda nchini Comoro kwaajili ya kuweka kambi ya wiki moja ya uchunguzi na utoaji huduma za kibingwa za magonjwa mbalimbali ikiwemo upasuaji wa moyo, saratani na ubongo. Madaktari hao…





