Category: MCHANGANYIKO
Makonda abaini upotevu wa bil 1.3/- sekondari ya wasichana Longido
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amebaini upotevu wa fedha zaidi ya Sh bilioni 1. 3 katika shule ya Sekondari ya Wasichana Longido iliyopo wilayani Longido. Fedha hizo zimepotea kutokana na ulipaji wa malipo…
Serikali yaweka bilioni 81 ujenzi bandari ya Mbambabay
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma WAKATI Rais Samia akitarajiwa kuwasili mkoani Ruvuma kwa ziara ya kikazi imeelezwa kuwa serikali imewekeza kiasi cha shilingi bilioni 81 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bandari ya kisasa ya Mbambabay Wilayani…
Walimu, wadau wa wapata mafunzo matumizi fasaha ya lugha ya kiswahili
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Walimu wa Kiswahili na wadau hapa chini wametakiwa kuona umuhimu wa lugha ya kiswahili katika kuimarisha utamaduni na elimu jambo ambalo litachangia jamii kukuza lugha ya kiswahili, uzalendo na uelewa wa historia ya nchi yao…
Dk Biteko mgeni rasmi hafla ya uwekaji jiwe la msingi mradi wa kuzalisha umeme mto Malagarasi
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto M. Biteko, anatarajia kuwa mgeni rasmi katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme katika Mto Malagarasi wa megawati 49.5. Kwa mujibu wa…





