Category: Siasa
Mawaziri wagongana
*Dili ya uwekezaji yawafanya washitakiane kwa Waziri Mkuu
*Wajipanga kumkabili Kagasheki, naibu achekea kwenye shavu
Mawaziri wawili na wabunge kadhaa wameungana dhidi ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki, kukoleza mgogoro ulioibuka Loliondo.
FCC yateketeza vipuri bandia
Tume ya Ushindani na Haki (FCC) nchini imeteketeza vipuri bandia vya magari, na kuwaonya wafanyabiashara kujiepusha kununua na kuuza bidhaa zilizoghushiwa.
Bagamoyo wamegewa neema nyingine
*Vijiji 20 kugawiwa fedha, chakula, elimu
Wakati bado mjadala wa upendeleo wa wilaya yake ukiendelea kumwandamana Rais Jakaya Kikwete, mradi mwingine wa mabilioni ya shilingi umepelekwa katika vijiji 20 vya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Bila kudhibiti NGOs Loliondo haitatulia
Kwa mara nyingine, Loliondo imetawala kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi. Sina desturi ya kuitetea Serikali, lakini hiyo haina maana kwamba inapoamua kufanya jambo la manufaa kwa vizazi vya sasa na vijavyo, nishindwe kuitetea.
BAADA YA KUANIKA MADUDU…
Ofisi ya CAG sasa yasambaratishwa
*Naibu CAG aondolewa, Utouh atakiwa ajiandae kung’atuka
Hasira za watendaji kadhaa wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na taasisi mbalimbali dhidi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwapo mpango wa kuwang’oa viongozi wake wakuu.
India yakubaliwa kuchimba dhahabu, almasi Tanzania
Serikali ya Tanzania imekubali ombi la Serikali ya India, la kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na madini nchini.
- Rais Samia afanya mabadiliko ya muundo wa wizara na uteuzi wa viongozi
- Serikali yasajili anwani za makazi milioni 12.9
- Dk Nchimbi ashiriki hafla ya kusimikwa kwa uongozi wa makanisa ya kipentekoste Tanzania
- Rais Samia ahitimisha ziara ya kikazi UAE, aimarisha mahusiano na uwekezaji
- Balozi Mwamweta, Mtaka wasaka soko la parachichi Ujerumani
Habari mpya
- Rais Samia afanya mabadiliko ya muundo wa wizara na uteuzi wa viongozi
- Serikali yasajili anwani za makazi milioni 12.9
- Dk Nchimbi ashiriki hafla ya kusimikwa kwa uongozi wa makanisa ya kipentekoste Tanzania
- Rais Samia ahitimisha ziara ya kikazi UAE, aimarisha mahusiano na uwekezaji
- Balozi Mwamweta, Mtaka wasaka soko la parachichi Ujerumani
- Shemdoe awataka madiwani kuwa wanyenyekevu kwa wananchi
- Serikali yaipongeza IAA kwa kuongoza mageuzi ya kidigitali na kusukuma utafiti na maendelo
- Wakurugenzi ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa kwa siku tano
- TRA yawataka walipa kodi Morogoro kuuzoea mfumo mpya wa Idras
- Waziri Mkuu achukizwa na migogoro ya ardhi
- SJMT, SMZ zaendelea kuongeza wigo wa upatikanaji fedha za mazingira
- Tanzania kunufaika na umakamu wa Rais wa Baraza la Mazingira Duniani (UNEA)
- Rais Dk Samia arejea kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)
- Dk Mwigulu :Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji
- Baraza la wafanyakazi siri ya utendaji bora
Copyright 2025