Category: Siasa
Hospitali ya Jeshi Lugalo kupandishwa daraja
Serikali imeaanza mipango ya kuipandisha Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Lugalo, kuwa Hospitali ya Rufaa, Bunge limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, baada ya Bunge lako Tukufu kupokea taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea, kujadili na kupitisha Mpango wa Maendeleo na Makadirio…
Vigogo wa bilioni 300 wakalia kuti kavu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema vyombo vya dola vimeanza kuchunguza taarifa za kuwapo kwa zaidi ya Sh bilioni 300 zilizofichwa katika benki nchini Uswisi.
Pinda ameliambia Bunge kuwa Serikali imepata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari, na kwamba tayari wameanza uchunguzi na baadaye watatangaza matokeo.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza
*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea
*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’
*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia
Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
- Matukio mbalimbali ya Rais Dk Samia wakati akifungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na kuchambua pamba
- Rais Samia afungua kiwanda cha kutengeneza Mabomba ya maji na kuchambua Pamba Bariadi
- Balozi Nchimbi : Fidia ya mifugo iliyotaifishwa lihitimishwe
- Israel, Iran zatishiana kufanya uharibifu, mzozo wafukuta zaidi
- Serikali itaendelea kuwalinda wazee – Naibu Waziri Mwanaidi
Habari mpya
- Matukio mbalimbali ya Rais Dk Samia wakati akifungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na kuchambua pamba
- Rais Samia afungua kiwanda cha kutengeneza Mabomba ya maji na kuchambua Pamba Bariadi
- Balozi Nchimbi : Fidia ya mifugo iliyotaifishwa lihitimishwe
- Israel, Iran zatishiana kufanya uharibifu, mzozo wafukuta zaidi
- Serikali itaendelea kuwalinda wazee – Naibu Waziri Mwanaidi
- Rais Samia awasili Mwanza kwa ziara kuelekea Bariadi
- Rais Samia : Matarajio ya wananchi kwa mahakama ni kutenda haki kwa wote na kwa wakati
- Waziri wa elimu apongeza mchango wa Green Acres
- Rais Samia akimuapisha Jaji George Masaju kuwa Jaji Mkuu
- Rais Dkt. Samia akizungumza mara baada ya kumuapisha Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania
- Anna Makinda ataka takwimu zitumike kuratibu huduma kwa wazee nchini
- Rais Samia akizungumza na wananchi wa Nala jijini Dodoma
- Rais Samia atoa wito maeneo yanayozungukwa na barabara ya mzunguko kuongeza uzalishaji kilimo Dodoma
- Muonekano wa Barabara ya Mzunguko ya Dodoma
- Rais Dk Samia akiwa kwenye mazungumzo na Rais AfDB