Category: Siasa
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika *Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini. Ushauri huo umetolewa na…
Kashfa uporaji ardhi kubwa Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
[caption id="attachment_124" align="alignleft" width="160"]Waziri Mkuu Mizengo Pinda[/caption]Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Nyalandu anavyomhujumu Kagasheki
*Adaiwa kula njama wawekezaji wasilipe kodi
*Aendesha kikao bila Kagasheki kuwa na taarifa
*Bodi ya TANAPA yakataa mapendekezo yake
Mgogoro ulioripotiwa na Gazeti hili la JAMHURI wiki iliyopita kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamis Kagasheni na Naibu wake, Lazaro Nyalandu, sasa umechukua sura mpya.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Nyalandu, ameingia matatani tena baada ya kubainika kuwa anashinikiza Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) lisianze kutoza ‘concession fee’ katika hoteli za kitalii nchini, JAMHURI limebaini.
Uamuzi huo unaikosesha Serikali mapato yanayofikia Sh bilioni 17 kwa mwaka. Jaribio la kwanza la Nyalandu kufanikisha mpango wake liligonga mwamba kwenye kikao chake na menejimenti ya TANAPA, kilichofanyika Juni 8, mwaka huu mjini Moshi.
Pinda akunjua makucha rasmi
Serikali imesema kuanzia sasa watumishi wabadhirifu wa fedha za umma hawatahamishiwa vituo vingine vya kazi, bali watachunguzwa na ikibainika watafukuzwa kazi mara moja.
Katibu Mkuu Nishati amwagiwa sifa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, amemwagiwa sifa kwa jinsi alivyowabana watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kufanikisha upatikanaji wa mita 85,000 za umeme.
Habari mpya
- Waziri Bashe awapa mbinu ya kuondokana na umaskini wakulima wa korosho Kusini
- Mmoja akamatwa kwa kwa tuhuma za shambulio la Padri Kitima
- Mhandisi Luhemeja afungua mkutano wa AGN Zanzibar
- Sekta ya Madini imepiga hatua – Dk Kiruswa
- John Mrema atimuliwa uanachama CHADEMA
- Dk Biteko alitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli kuongeza kasi ya uendelezaji vitalu vya mafuta na gesi asilia
- Tume ya TEHAMA, Soft-Tech zasaini ushirikiano kuinua sekta ya TEHAMA
- Halmashauri zisizo na stendi za kisasa zapewa maelekezo
- Ushiriki wanamichezo kutoa TRA unalenga kusambaza ujumbe wa kulipa kodi
- NMB yatambuliwa kwa ubora kwenye tuzo za OSHA 2025
- Wakili Mwanaisha Mndeme ajitosa kuwania ubunge Kigamboni
- Waziri Kikwete aipa tano CRDB kuwa na mifumo bora ya usalama
- JWTZ yatangaza nafasi za kujiunga na Jeshi, yatoa tahadhari dhidi ya matapeli
- Waziri Chana akutana na sekretarieti ya mkataba wa Lusaka
- Mamia ya wanajeshi wa DRC watafuta hifadhi UN