Category: Kitaifa
Serikali yaanika mikakati ya kukabiliana na corona
Tanzania imeanza kuchukua hatua madhubuti kuweka mikakati itakayoiwezesha kukabiliana na mlipuko wa virusi vya corona iwapo utatokea nchini. Mikakati hiyo imebainishwa wiki iliyopita na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu. Pamoja na kueleza yaliyofanywa…
Dhahabu, almasi nchini zaongezeka thamani
Thamani ya dhahabu na almasi zilizozalishwa nchini mwaka jana na kampuni kubwa zinazochimba madini hayo nchini iliongezeka kwa dola milioni 55.5 za Marekani ukilinganisha na kiasi kilichopatikana mwaka 2018. Kwa mujibu wa takwimu mpya za Benki Kuu ya Tanzania (BoT),…
IMF, AfDB wakosoa sera za uchumi Zimbabwe
Taasisi mbili kubwa za fedha duniani zimepinga sera ambazo Zimbabwe imeamua kuzitumia kufufua uchumi wake. Taasisi hizo, Shirika la Fedha Ulimwenguni (IMF) na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), zimesema Zimbabwe inahitaji kufanya mambo mengine mengi zaidi ya sera hizo iwapo…
Uchunguzi mkali NIDA
Tume tatu zimeundwa kuchunguza ubadhirifu, utendaji, utoaji vitambulisho kwa watu wasio raia na mwenendo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Katika hali ya kushtua, mfanyakazi wa NIDA (jina linahifadhiwa) ambaye ni mke wa mmoja wa…
Wakopeshaji matapeli ‘wawapiga’ walimu bilioni 1.3/-
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Mara inaendesha uchunguzi dhidi ya mataeli ambao wamewakopesha watumishi wa umma fedha kwa riba kubwa na kuzalisha mafia yanayofikia Sh bilioni 1.3. Mkuu wa Takukuru Mkoani Mara, Alex Kuhanda ameliambia JAMHURI…
Wafanyabiashara Soko la Kariakoo watoa tahadhari
Wafanyabiashara wa masoko ya Mchikichini na Kariakoo wameonya kuwa kuna uwezekano mkubwa wa bidhaa zinazouzwa kwa wingi katika maeneo hayo kupanda bei maradufu kutokana na uhaba wa bidhaa hizo ulioanza kujitokeza. Kwa kiasi kikubwa maeneo hayo ni maarufu kwa biashara…