CCM wa kweli wakiri hili
Wale wa rika langu, ama wamezaliwa, au wamelelewa na sasa wanaelekea kuzeeka ndani ya malezi yenye misingi iliyojengwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Watanzania wengi waliozaliwa kabla ya mwaka 1992 wanaijua CCM, na kwa kweli hawana namna ya kukwepa kuizungumza, kuijadili na wakati mwingine kuikosoa. Haishangazi kuwaona baadhi ya wanachama na viongozi walio nje ya…