Kikwete na uteuzi dakika za mwisho
Rais Jakaya Kikwete, wiki ijayo atakuwa ameingia kwenye orodha ya marais wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa kiongozi aliyechaguliwa mara mbili, na kufanikiwa kumaliza kipindi chake cha miaka 10 salama, si busara sana kuendelea kumjadili au kumkosoa. Watu waungwana wangependa kumwona kiongozi wetu anapumzika salama; na kwa maana hiyo ushauri wetu unapaswa kuelekeza…