Category: Makala
Prof Makubi:Bima ya afya inatoa fursa ya kutibiwa hospitali yoyote unayoitaka
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi amebainisha kuwa, Bima ya Afya kwa wote itatoa fursa kwa Mtanzania mwenye hali yoyote kwenda kupata matibabu katika hospitali yoyote zikiwemo hospitali za kitaifa kama Muhimbili na nyingine za kibingwa. Prof. Makubi…
WHO:Afrika ina idadi kubwa ya watu wanaojiua
Shirika la Afya Duniani limesema Afrika ina kiwango kikubwa zaidi cha watu wanaojiua duniani. Shirika hilo sasa limezindua kampeni ya mitandao ya kijamii ya kuzuia watu kujitoa uhai katika eneo hilo, ili kuongeza ufahamu juu ya suala hilo. Katika taarifa…
Kituo cha kutibu magonjwa ya milipuko kujengwa Kagera
Na Catherine Sungura,JamhuriMedia,Kagera Serikali inatarajia kujenga kituo maalumu cha matibabu ya magonjwa ya milipuko mkoani Kagera. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu wakati wa kikao cha kuhitimisha ziara yake ya kikazi ya kujionea utayari wa kukabiliana na…
Taka za plastiki zinavyoathiri maisha ya viumbe hai baharini
Na Robert Okanda,JamhuriMedia Katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita, chupa za maji 5,000 zilizotumika zikiwa zilipambwa vizuri, kwa kunakshiwa kama urembo kwenye nguzo za minara ya Kirumi zinazosalimia mtu anapoingia kwenye Klabu ya Afya ya Colosseum Masaki mjini Dar es…
Kiria achaguliwa mwenyekiti CCM Simanjiro
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Simaniiro Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Manyara, Kiria Ormemei Kurian Laizer amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Simaniiro. Msimamizi wa uchaguzi huo ambalo umefanyika jana Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Sizaria Makota ametangaza…
Daktari Mtanzania afariki kwa maambukizi ya Ebola Uganda
Daktari raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 37 ambaye amekuwa akisomea Shahada ya Uzamili ya Udaktari katika Upasuaji katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola, Chama cha Madaktari wa Upasuaji Uganda kimetangaza….





