Category: Makala
Funzo kutoka kwenye kodi ya majengo
Mamia kwa maelfu ya wananchi, wamejitokeza na wanaendelea kujitokeza kulipa kodi ya majengo. Muda uliopangwa ulipungua. Umeongezwa kwa wiki kadhaa, lakini bado idadi ya watu wanaojitokeza kulipa ni kubwa mno. Maombi ya wananchi ya kuomba kuongezewa muda yameitikiwa na Mamlaka…
Je, Katiba inanyumbulika?
“Laiti ingelikuwa, laiti ingelikuwa Katiba haingefupisha muda fulani, mimi ningeshauri hapa huyu bwana awe rais siku zote…” Kauli hiyo ilitolewa tarehe 26 Juni, 2017 na Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi, wakati wa kutoa…
Yah: Uhuishaji wa majukumu yetu Watanzania bado tuna safari ndefu
Nianze waraka wangu kwa kuwapongeza wale wachache, ambao kimsingi wanakubaliana na mabadiliko ya kazi kila siku japokuwa nao ni kama kumkunja samaki aliyeanza kukauka, kuna siku wanaweza kuvunjika wakiwa katika jitihada za kujikunja. Nchi yetu ipo katika kipindi kigumu cha…
Afrika tunaibiwa sana, tena sana
Taarifa iliyotolewa hivi karibuni na shirika lisilo la kiserikali la Global Justice Now inaeleza jinsi gani Bara la Afrika linavyoibiwa rasilimali zake. Ripoti hiyo, inayoitwa Honest Accounts 2017, inaeleza kuwa kwa mwaka 2015 mali na pesa za thamani ya dola…
Ndugu Rais watoto wasiandaliwe vitabu-sumu vingine
Ndugu Rais, Watanzania wanapaswa kumshukuru Mungu kumpata rais anayethubutu. Katika kipindi kifupi umegusa mambo mengi yenye uzito mkubwa ambao wenzako wasingethubutu! Hata kama hutafanikisha, lakini historia itasema huyu alithubutu! Kwa makaburi uliokwishafukua mpaka sasa, nani mwingine angeweza? Wakati unaendelea na…
Wakati wa vijana kugeukia kilimo
Serikali imeombwa kujenga mfumo mzuri utakaowawezesha vijana kujiunga katika vikundi vya uzalishaji ili wawe na uwezo wa kukopesheka katika taasisi zinazotoa mikopo na kujiajiri katika miradi ya kilimo. Akizungumza na JAMHURI Mkuu wa kitengo cha utafiti wa taasisi ya Well…