Category: Makala
‘Tutembee na Rais Samia kung’oa
vipengele hasi vya sheria ya habari’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar SHERIA ya habari ya mwaka 2016 ilianza kulalamikiwa kwa kipindi kirefu na wadau wa habari kwa kuwa haikuondoa mitego iliyowekwa na sheria ya mwaka 1979 na kuchangia kudumaa kwa vyombo vya habari nchini. Hayo yamesemwa leo…
‘Haki ya faragha kwa wafunga na wenza wao kutolewa’
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali ya Tanzania imesema haki ya faragha kwa wafungwa na wenza wao itaanza kutolewa pale ambapo sheria na miundombinu ya magereza itakapokidhi kutolewa kwa haki hiyo. Kauli hiyo imetolewa bungeni na Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad…
Mo Dewji foundation yatoa mil 100 kukabili saratani Muhimbili
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Taasisi ya Mo Dewji Foundation iliyoanzishwa na mfanyabiashara Mohamed Dewji, imetoa msaada wa Sh100 milioni kwa ajili kusaidia matibabu ya watoto wanaosumbuliwa na Saratani. Akikabidhi msaada huo leo jijini Dar es Salaam kwa Taasisi ya Tumaini la…
Kinana afurahishwa na kasi ya ujenzi wa daraja la Magufuli
Na Mwandishi Wetu,JamhuruiMedia,Mwanza Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amesema Chama kinaridhishwa na mwenendo wa ujenzi wa daraja la JPM Magufuli linalounganisha kati ya Mkoa wa Mwanza na Geita ambalo linajengwa eneo la…
Kinana atembelea shamba la mbegu bora za mahindi Misenyi
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametembelea shamba la mbegu la Global Agency Farm lililopo Buchurago Bugorora wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera. Akiwa shambani hapo, Kanali Mstaafu Kinana alishuhudia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika…





