JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Wazanaki na uchawi, na miiko ya wazee wa jadi

Hata kama huamini juu ya uchawi na ushirikina, huwezi kuishi ndani ya jamii nyingi za Kiafrika na usisikie taarifa juu ya masuala haya. Miongoni mwa kabila la Wazanaki imani hizi zipo. Ilikuwa desturi anapougua au kufariki mtu jambo la kwanza…

Mwaka mmoja wa Magufuli madarakani Tusimsifu wala tusimhukumu

Naujadili utawala wa Rais Magufuli kutimiza mwaka mmoja. Kwa kuchagua kwa makusudi maneno mawili – tusimsifu wala tusimhukumu – wengine wanaweza kushangaa! Lakini ngoja nikumbushie kisa cha mtaalamu kutoka Japan aliyepelekwa Kigoma. Huyo mtaalamu kila alipoona eneo jipya alilopelekwa Kasulu,…

Tathmini ya mwaka mmoja wa Rais Magufuli

Ni vizuri watu wakutathmini kuliko kujitathmini mwenyewe, lakini ninaloweza kusema ni kwamba kesho ndiyo natimiza mwaka mmoja tangu niwe Rais. Ninamshukuru Mungu kwamba tumeutimiza huo mwaka, lakini pia nawashukuru Watanzania kwa sababu ndani ya ushirikiano wao wa pamoja nchi yetu…

Ndugu Rais umesema tukuamini tumekusikia, tunakuamini

Ndugu Rais ulipoongea na wahariri wa vyombo vya habari ulisema mengi na mengi mengine uliyafafanua vizuri. Nia yako njema kwa nchi hii ilionekana dhahiri. Ukasema tukuamini! Tumekusikia, tumekuamini! Umefanya vema kuwajibu watu wako wema wanaouliza kila siku kutaka kujua kama…

Uchaguzi Marekani hautabiriki

Huku siku za kampeni nchini Marekani zikiwa zimekwisha, ushindani mkali unaonekana kati ya Hillary Clinton wa Democratic na Donald Trump wa Republican, hali inayoashiria ugumu katika uchaguzi huo. Wagombea hao – Hillary Clinton na Donald Trump – wamefanya mikutano sambamba…

Wamarekani wengi hawaoni tofauti kati ya Trump na Clinton

Wakati naandika haya, huko Marekani kampeni ya kugombea urais imepamba moto. Hakuna anayeweza kutabiri kwa hakika ni nani atakayeshinda kati ya wagombea wakuu wawili- Donald Trump na Hillary Clinton. Inawezekana baada ya uchaguzi kufanyika Novemba 8 matokeo yakajulikana.  Kwa muda…