Category: Makala
NUKUU ZA WIKI
Mwalimu Nyerere: Wanadamu huongozwa na sheria
“Nchi zote duniani huongozwa na wanadamu na si malaika. Wanadamu hawa huongozwa na sheria na si kwa akili zao wenyewe.”
Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius K. nyerere.
Misitu ya Asili na Maendeleo ya Jamii Tanzania (1)
Kwanza napenda kuchukua fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu, muumba wa mbingu na dunia na vyote vilivyomo tukiwamo sisi wanadamu, kwa mema mengi mno anayonitendea na hasa kwa kutujalia uhai hadi leo hii.
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!
Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa
“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimwangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki… lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema… aaaah kweli huyu?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
- Vijana kuwania kitita cha milion 50/- shindano la ‘Vijana Uchumi Challenge’
- Naibu Waziri Regina Ndege awajengea uwezo askari wanawake Manyara
- Dk Mwigulu: Tunafuatilia kwa umakini suala la mafuta
- Amani ni msingi wabutalii, Malecela awataka wananchi kuilinda ili kukuza sekta ya utalii
- Uzinduzi vijana platform yapamba moto Kigamboni
Habari mpya
- Vijana kuwania kitita cha milion 50/- shindano la ‘Vijana Uchumi Challenge’
- Naibu Waziri Regina Ndege awajengea uwezo askari wanawake Manyara
- Dk Mwigulu: Tunafuatilia kwa umakini suala la mafuta
- Amani ni msingi wabutalii, Malecela awataka wananchi kuilinda ili kukuza sekta ya utalii
- Uzinduzi vijana platform yapamba moto Kigamboni
- Tanzania yaweka historia nyingine
- Kikwete steps in: AU envoy pushes for lasting peace in South Sudan
- Tanzania yaingiza vipengele 41 tuzo za utalii Duniani
- Waziri Mkuu akutana na mabalozi wateule Dodoma
- Tanzania yaongeza kasi mageuzi makazi holela
- Wananchi 1,300 wanufaika na huduma za RITA kupitia ziara ya mwenyekiti CCM Kibaha Mjini
- Tanzania, Mauritius kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kimkakati
- Zoezi la kubadilisha Tahasusi na kozi za vyuo lafunguliwa rasmi
- REA yawasha umeme vitongoji 307 Namtumbo
- Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara soko la simu 2000 kuendelea na biashara