Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Ndg.Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Brazil nchini Tanzania Mhe. Gustavo Martins Nogueira katika Ofisi Ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam,Juni 21-2023.( Picha na Fahadi Siraji) Post Views: 34 Post navigation Wamteka mtoto na kutaka walipwe mil.50/- Katavi Chongolo aendelea na ziara Bahi mkoani Dodoma