Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
November 20, 2022
Siasa
Majaliwa ashiriki mkutano mkuu wa uchaguzi Lindi
Jamhuri
Comments Off
on Majaliwa ashiriki mkutano mkuu wa uchaguzi Lindi
Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa , Kassim Majaliwa akiwapungia wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wa Uchaguzi Mkoa wa Lindi wakati alipowasili kwenye ukumbi wa Chuo cha Ualimu Nachingwea kushiriki katika mkutano huo, Februari 20, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Kassim Majaliwa akitoa salamu katika Mkutano Mkuu wa CCM wa Uchaguzi Mkoa wa Lindi kwenye ukumbi wa Chuo cha Ualimu Nachingwea, November 20, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Tekinolojia ya Habari, Nape Nnauye wakati alipowasili kwenye Viwanja vya Chuo cha Ualimu Nachingwea kushiriki katika Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa CCM Mkoa wa Lindi, Novemba 20, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya Washirki wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa CCM Mkoa wa Lindi wakifuatilia matukio mbalimbali katika mkutano huo kwenye ukumbi wa Chuo cha Ualimu Nachingwea, Novemba 20, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post Views:
277
Previous Post
Ajiteka na kuomba milioni 2,Polisi wamdaka akimwagilia moyo
Next Post
Mpango aitaka TPA kukamilisha miradi yote ya maboresho
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Habari mpya
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Geita yaupokea mradi wa bilioni 17 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105
Kongamano la ARGe0-C10 kuongeza kasi uendelezaji jotoardhi Afrika Dk Mataragio
Urusi yafanya mashambulizi usiku kucha mjini Kyiv Ukraine
Profesa Mkumbo avutiwa na utendaji wa bandari ya Dar
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Shule za Mbeya kufanyiwa ukarabati mkubwa, zitoe mazingira bora ya kujifunzia