Sababu za kutosikia kwa ufasaha
Mawimbi ya sauti yanaingia kwenye sikio la nje kupitia mfereji wa sikio; hivyo kusababisha ngoma ya sikio na ile mifupa midogo midogo milaini sana ndani ya sikio inayojulikana kama ngoma ya sikio iliyopo katika sikio la kati kutetemeka. Kutetemeka kwa ngoma ya sikio kunaruhusu mitetemo hii ya sauti isafiri hadi kwenye sehemu inayoitwa ‘koklia’. Koklia…