JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mavunde aipongeza STAMICO kwa kupiga hatua na kujitegemea

#Aitaka kuchukua mafanikio kama kichocheo #STAMICO yabainisha mipango yake Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Madini Anthony Mavunde amelipongeza Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwa hatua kubwa iliyopigwa katika kipindi kifupi kutoka kuwa Shirika tegemezi na kuwa Shirika…

Serikali yaimarisha mazingira ya uwekezaji sekta ya mifugo

Serikali ya Tanzania imesema kuwa imeboresha na kuimarisha mazingira ya kiuwekezaji katika sekta ya mifugo kwa kuondoa baadhi ya ushuru, kodi na vikwazo vya kikodi katika biashara ya mifugo na mazao yake . Hayo yamelezwa na Waziri wa Mifugo na…

EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za  bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano, tarehe 6 Septemba 2023 saa 6:01 usiku. Kwa mwezi Septemba 2023, bei za rejareja za mafuta …

DC Kibiti:Wazazi waliomtelekeza mtoto mwenye ulemavu wakamatwe

Na Mwamvua Mwinyi JamhuriMedia ,Pwani Mkuu wa Wilaya ya Kibiti,Kanal Joseph Kolombo ameagiza kufuatiliwa na kukamatwa , wazazi waliomtelekeza mtoto wao mwenye ulemavu wa viungo ,Theresia Moses tangu akiwa na miezi sita ,huku wao wakiendelea kula bata. Ameeleza, taarifa zilizotolewa…

Waziri Mavunde aiahidi ushirikiano Kamati ya Kudumu ya Bunge Nishati na Madini

#Zaidi ya Shilingi bilioni 52 zimetolewa na Migodi tangu kutungwa kwa Kanuni za CSR, 2018 – 2022 #GST kujengewa uwezo kufanya tafiti za kina Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde ameahidi kuipa ushirikiano Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati…