Latest Posts
Chalamila akutana na kamati ya maandalizi ya mkutano mkuu wa Baraza la Michezo ya Jeshi Duniani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amekutana na Kamati ya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani Ofisini kwake Ilala Boma jijini Dar es Salaam. RC Chalamila akiongea na…
Majaliwa: Tutaendelea kuwaunga mkono wadau wa sekta ya binafsi
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea kuwaunga mkono wadau wa sekta binafsi katika jitihada zote za kuimarisha ustawi wa watoto wa Tanzania. Amesema kuwa Serikali kwa upande…
Polisi Mbeya wamshikilia bibi kwa kumuua mjuu wake
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia bibi mmoja aitwaye Malogi Luobela (75), Mkazi wa Kijiji cha Ikoho Wilaya ya Mbeya Vijijini kwa tuhuma za kumuua mjukuu wake aitwaye Vision Erick mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi mitano kwa…