Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
December 10, 2023
MCHANGANYIKO
Rais Samia apokea hundi ya bil.2 kutoka taasisi mbalimbali kusaidia waathirika Hanang
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia apokea hundi ya bil.2 kutoka taasisi mbalimbali kusaidia waathirika Hanang
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea mfano wa Hundi ya Shilingi Bilioni mbili kutoka kwa Msajili wa Hazina Bw. Nehemia Mchechu kwa ajili ya Maafa ya maporomoko ya ardhi yaliyotokea katika Mji mdogo wa Katesh, Hanang Mkoani Manyara hivi karibuni. Hundi hiyo ni michango iliyochangwa na Taasisi mbalimbali za Serikali na kuwasilishwa Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Desemba, 2023 mara baada ya kupokea hundi ya michango kutoka Taasisi mbalimbali za Serikali kwa ajili ya Maafa ya maporomoko ya ardhi yaliyotokea katika Mji mdogo wa Katesh, Hanang Mkoani Manyara hivi karibuni.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango akizungumza kwenye hafla ya upokeaji wa hundi ya michango ya Maafa ya mafuriko, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Desemba, 2023.
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango akiondoka Ikulu mara baada ya hafla fupi ya kupokea Hundi ya michango kutoka Taasisi mbalimbali kwa ajili ya Maafa ya maporomoko ya ardhi yaliyotokea Katesh, Ikulu Mkoani Dodoma tarehe 10 Desemba, 2023.
Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye hafla fupi ya upokeaji Hundi ya michango kutoka Taasisi mbalimbali kwa ajili ya Maafa ya maporomoko ya ardhi yaliyotokea Katesh, Ikulu Mkoani Dodoma tarehe 10 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa mara baada ya hafla fupi ya kupokea Hundi ya michango kutoka Taasisi mbalimbali kwa ajili ya Maafa ya maporomoko ya ardhi yaliyotokea Katesh, Ikulu Jijini Dodoma tarehe 10 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama mara baada ya hafla fupi ya kupokea Hundi ya michango kutoka Taasisi mbalimbali za Serikali kwa ajili ya Maafa yaliyotokea Katesh, Ikulu Jijini Dodoma tarehe 10 Desemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama, Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Msajili wa Hazina Bw. Nehemia Mchechu pamoja na Wakuu wa Taasisi mbalimbali za Serikali, Ikulu Chamwino Mkaoni Dodoma tarehe 10 Desemba, 2023.
Post Views:
278
Previous Post
Dk Yonazi aipongeza Muhimbili kupeleka msaada wa msaikolojia tiba,dawa na vifaa Hanang
Next Post
Waziri Mkuu azindua Awamu ya Nne ya Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa
Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi
Rais Samia azungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Djibouti Ikulu jijini Dar
Mitaala 21 ya TEHAMA vyuoni yahakikiwa
Bunge laipongeza Tume ya Tehama kukipeleka Kiswahili duniani
Tanzania kuanza kuzalisha kompyuta
Habari mpya
Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi
Rais Samia azungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Djibouti Ikulu jijini Dar
Mitaala 21 ya TEHAMA vyuoni yahakikiwa
Bunge laipongeza Tume ya Tehama kukipeleka Kiswahili duniani
Tanzania kuanza kuzalisha kompyuta
Haya hapa matokeo kidato cha nne 2024/2025
Trump apanga kuwekeza katika akili mnemba
ACT Wazalendo yampongeza Lissu kwa ushindi
TMA: Mwaka 2024 umevunja rekodi kwa kuwa na joto kali duniani
Diaspora kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa
Rais Dkt. Samia awasili Dar akitokea Dodoma kwa usafiri wa Treni ya Umeme ya (SGR)
Noti mpya za fedha kuanza kutumika Februari 1,2025
Benki Kuu yanunua tani 2.6 za dhahabu inayochimbwa nchini – Waziri Mavinde
Watakia kuchukua vitambulisho vyao NIDA
Rais Dkt. Samia azungumza na viongozi mara baada ya kuwaapisha Majaji Ikulu Dodoma