JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

DAS Songea aitaka jamii kujitokeza zoezi la unyweshaji wa kinga tiba ya usubi

Na Cresensia Kapinga, Jamhuri, Songea Katibu Tawala Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Mtela Mwampamba, ameitaka jamii kujitokeza kwa wingi katika zoezi la unyweshaji wa kinga tiba ya Usubi, magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele na yamekuwa yakiwaathiri sana jamii maskini. Hayo ameyasema…

NEC yatoa vibali kwa taasisi na asasi kutoa elimu na kutazama uchaguzi mdogo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetoa vibali vya kutoa Elimu ya Mpiga Kura katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge jimbo la Mbarali na kata sita za Tanzania Bara kwa asasi tatu za kiraia. Taarifa ya Tume…

TMDA iongeze nguvu kudhibiti bidhaa feki za dawa zinazoingia nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI Stanslaus Nyongo ameitaka Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) kuongeza nguvu ya kudhibiti bidhaa feki za dawa zinazoingia nchini Tanzania. Mwenyekiti…

Wadau wa habari waomba uundwaji wa kanuni za habari usipite mwezi Oktoba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Wadau wa habari wamesema, baada ya Bunge kupitisha marekebisho ya sheria ya habari, kinachofuata sasa ni kuomba fursa ya kukutana na serikali ili kupendekeza mambo gani yaingie kwenye kanuni. Akizungumza na waandishi wa habari leo…

Sendeka awaonya vijana kutojiingiza kwenye uhaini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mbunge wa Simanjiro Mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka, amewaonya vijana nchini kutojiingiza kwenye uhaini na pia wasiunge mkono maandamano ya kupinga Serikali kupitia mitandao ya kijamii. Ole Sendeka akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani wa…