JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Mkuu awapongeza Watanzania walioshiriki kongamano la uchumi Urusi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewapongeza wafanyabiashara 19 kutoka Tanzania ambao walishiriki maonesho ya kibiashara kwenye Jukwaa la Kimataifa la Uchumi na Kibinadamu la Afrika na Urusi lililomalizika Julai 28, mwaka huu. Wafanyabiashara hao wanamiliki makampuni yanayohusika na sekta za elimu,…

‘Wenye ulemavu wana haki sawa na wengine’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amewataka wazazi na walezi wenye watoto wenye ulemavu kutowaficha watoto wao ndani akisema kufanya hivyo ni kuwanyima haki zao za msingi. Ummy…

TIC mbioni kuanzisha dirisha la kielektroniki kwa wawekezaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia KITUO cha Uwekezaji nchini (TIC), kimesema kiko katika hatua za mwisho za kuweka mfumo utakaowawezesha wawekezaji kupata huduma za mahala pamoja kwa njia ya kielektroniki utakaojulikana kama Tanzania Investment Electronic Window. Kukamilika kwa mfumo huo kutawawezesha…

CAF wakunga miundombinu itakayotumika AFCON 2027

Na Eleuteri Mangi, Dar es Salaam Timu ya wataalamu kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) ipo nchini kukagua miundombinu ya michezo ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya AFCON 2027 endapo nchi za Tanzania, Kenya na Uganda zitapata ridhaa…

Mwenge wa Uhuru wazindua vyumba 14 vya madarasa Shinyanga

Mwenge wa Uhuru umezindua vyumba 14 vya madarasa vilivyojengwa kwa thamani zaidi ya sh millioni 470 katika shule ya sekondari Kagongwa iliyopo Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga. Uzinduzi huo umefanyika leo baada ya kiongozi wa mbio hizo kitaifa, Abdalla Kaim…

Mandonga apata kipigo tena

Bondia wa Tanzania, Karim Mandonga, maarufu kwa jina la Mandonga Mtu Kazi, amepigwa tena na mwandondi mkongwe wa Uganda Moses Golola. Mandonga alitolewa kwa ‘Technical Knock Out’ Jumamosi, Julai 29 katika pigano lililofanyika jijini Mwanza, Tanzania. Watazamaji walikuwa wamejawa na…