JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Oparesheni maalumu yakamata vifaa tiba vya Serikali ya mil.11.2/- kwenye maduka binafsi nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Vifaa tiba vya Serikali vinavyokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi 11,297,500 vimekamatwa katika vituo na maduka binafsi. Mbali na vifaa hivyo pia dawa mbalimbali za zikiwemo mseto za kutibu Malaria, videngo aina ya ALU, dawa…

Wenye chumvi pelekeni kiwanda cha Neel – Mahimbali

#Kiwanda kinauwezo wa kuzalisha tani 600 za chumvi kwa siku #Kimetoa ajira kwa zaidi ya wafanyakazi 500 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Wito umetolewa kwa wazalishaji wa madini ya chumvi nchini kupeleka malighafi hiyo katika Kiwanda cha Neelkanth Salt Limited…

Mpango : Uhusiano wa Tanzania na Saudi Arabia waimarika

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Saudi Arabia hapa nchini Yahya Ahmed Okeish, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 19 Desemba 2023. Katika mazungumzo hayo, Makamu…

Ajali yaua kichanga cha miezi sita, mwanamke mmoja baada ya basi kutumbukia mtoni Kisarawe

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe Mwanamke mmoja (35-40)pamoja na mtoto wa miezi sita wamefariki dunia iliyotokea Daru Mzumbwi Kisarawe ,baada ya basi lenye namba za usajili T 275 DRZ aina ya tata kutumbukia kwenye mto na kusababisha vifo hivyo. Aidha…

Waziri Mkuu apokea mil.10 za maafa Katesh

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea mchango wa shilingi milioni 10 kutoka kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya   Maridhiano na Amani Tanzania , Sheikh Dkt.  Alhad Issa Salum  (kulia) na Katibu Mkuu  wa Jumuiya hiyo, Dkt. Mhasa Ole Gabriel kwa ajili…