JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mbrazil autaka ushindi kwa Raja

Na Tatu Saad,JAMHURI MEDIA Kocha mkuu wa Klabu ya Simba SC, Robert Oliveria ameeleza kuwaheshimu wapinzani wao ‘Raja Casablanca’ kuelekea mchezo wao wa mwisho wa kundi C, Ligi ya mabingwa Afrika,utakaopigwa huko nchini Morocco. Robertinho ameyasema haya baada ya kundi…

Nape: Serikali kuzifanyiakazi
sheria za habari zenye kasoro

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Morogoro Waziri wa habari, Mawasiliono na Teknolojia ya habari Nape Nnauye amesema kuwa dhamira ya Serikali ni kuimarisha sekta ya habari ikiwa ni pamoja na kuzipitia sheria zinazolalamikiwa na wadau ikiwemo sheria ya huduma za habari namba 12…

Makamu wa Rais wa Marekani awasili nchini Kamala Harris

Picha mbalimbali zikionesha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akimpokea Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 29…

Mvua yaikosesha mikoa 6 safari za treni

Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesitisha safari zake katika mikoa sita hapa nchini kutokana na mvua zinazoendelea kuonyesha katika maeneo mbalimbali. Mikoa itakayoathiriwa na uamuzi huo wa TRC ni Dar es Salaam kuelekea mikoa ya…

Rais Samia:Vyombo vya habari vifanye kazi bila woga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ametoa salamu za Rais Samia Suluhu Hassan akivitaka vyombo mbalimbali vya habari Tanzania kufanya kazi kitaaluma bila woga, upendeleo na uonevu. Waziri Nape ametoa salamu…