Latest Posts
Ajifungua chini kifusi na kufariki,kichanga chakutwa hai Syria
Mtoto mchanga anayekadiriwa wa siku moja, ameokolewa kwenye kifusi baada ya mama yake kufukiwa kwenye moja ya jingo lililoporomoka pamoja na wanafamilia wengine saba kutokana na tetemo la ardhi lililotokea juzi Jumatatu Uturuki na Syria na kusababisha vifo vya watu…
TEF yakerwa na kauli ya Serikali, yabisha hodi Ikulu
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limepokea kwa mshituko na masikitiko makubwa kauli ya Serikali kupitia kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa kuwa Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari (MSA…
Mume amuunguza mke na maji ya moto,kisa kuchelewa kuwasha moto
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani,Abubakari Kunenge amekemea vikali vitendo vya ukatili vinavyoendelea kushamiri ndani ya mkoa huo baada ya Neema John , kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Tumbi baada ya kufanyiwa ukatili na mumewe…
Kampeni ya ‘NMB Mastabata kotekote’ yafikia ukingoni
Kampeni ya kuhamasisha matumizi ya NMB mastercard na QR Code ‘Lipa Mkononi’ iitwayo NMB MastaBata ‘Kote Kote’, imefikia ukomo kwa wateja 7 na wenza wao kujishindia safari ya Dubai kwa siku nne inayogharamiwa kila kitu na Benki ya NMB. Kampeni…