JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Upasuaji wa kwanza bila kufungua kifua wafanyika JKCI

na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Taasisi ya Moyo ya Jakaya kikwete(JKCI) kwa kushirikiana na madaktari kutoka India wamefanikiwa kubadilisha valvu ya moyo bila kufanya upasuaji wa kufungua kifua kwa mara ya kwanza nchini . Upasuaji huo ujulikanao kuwa wa tundu…

Kamati ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar watembelea MSD

Kamati ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Uongozi wa Wizara ya Afya Zanzibar pamoja na Uongozi wa Bohari Kuu ya Dawa Zanzibar leo wametembelea Bohari ya Dawa (MSD) kubadilisha uzoefu katika masuala ya mnyororo wa ugavi wa…

Chalamila bandari kavu kusaidia kupunguza msongamano wa mizigo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Desemba 13, 2023 amekutana na uongozi wa Bandari na viongozi wa Bandari kavu (ICD) kujadili michakato ya kuondosha mizigo Bandarini. RC Chalamila amesema kwa sasa…

Mtambo wa kutibu magonjwa zaidi ya 10 wazinduliwa Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Hospitali ya ya Taifa Muhimbili leo imezindua mtambo unaotumia hewa tiba yenye mgandamizo ya oksijeni (Hyperbaric Medicine Treatment) ambao unatibu magonjwa zaidi ya 10 na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya kwanza katika Ukanda wa Afrika…