JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ushirikishwaji wa Watanzania waleta mabadiliko makubwa sekta ya madini

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa mabadiliko ya Sheria ya Madini mwaka 2017 na kanuni za ushirikishwaji wa watanzania katika Sekta ya Madini yamepelekea mabadiliko makubwa katika Sekta ya Madini ikiwa ni pamoja na ongezeko…

Jatu yarejesha imani kwa wanahisa wake, yakaribisha mtaalamu kutoka Uholanzi

Ikiwa ni siku chache tu baada ya Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Jatu PLC kufikishwa mahakamani kutokana natuhuma zinazomkabili za matumizi mabaya ya ofisi, uongozi wa kampuni hiyo kupitia kwa Kaimu MkurugenziMohamed Simbano, wamemtambulisha mtaalamu wa masuala ya fedha na…

Polisi Manyara waadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi kwa kufanya usafi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara na watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Babati wameungana na wananchi kufanya usafi katika kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar leo Januari 12,2023. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara George Katabazi amesema wameamua kuungana…

SMT NA SMZ kushirikiana katika mageuzi ya sera ya elimu

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema Wizara ya Elimu Bara na ile ya Zanzibar zinafanya kazi kwa kushirikiana katika suala la mageuzi ya Sera ya Elimu na maboresho ya mitaala ili kuwawezesha vijana wa pande zote…

RC Ruvuma aagiza kukamatwa wazazi ambao watoto wao hawajaripoti shuleni

Na Albano Midelo,JamhuriMedia, Ruvuma Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amewaagiza wakuu wa Wilaya,wakurugenzi na viongozi ngazi ya kata na vijiji kuwakamata wazazi wote ambao hadi Jumatatu ijayo watakuwa hawajawapeleka watoto wao shule. Ametoa agizo hilo baada ya…